Recent content by kibebii

  1. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wali wa mkaa ni mtamu kuliko ule wa 'rice cooker'?

    Kutokujua kupika mbali, ila muhimu uelewe kila aina ya jiko ina ladha yake ya chakula. pia kila aina ya chombo unachopikia kinaleta ladha tofauti. Sufuria, chungu, mwiko wa mbao, chuma....
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ni sababu ipi mtu huitwa marehemu na mwingine kuitwa hayati?

    Hayati ni maalum kwa viongozi au watu ambao wameacha atahri chanya kwenye Jamii zao. Mfano Hayati Nyerere, Sokoine, Karume na wengine ambao wamepewa heshima hiyo na taifa. Hayati linatokana na neno hay... kwa maana chenye uhai. hivyo hao wanaopewa jina hilo wanaonekana kwa matendo yao bado...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaounga mkono Serikali hii wanaishia kufedheheka , huku wanaoikosoa wanaheshimika ?

    Ukweli humuweka mtu huru. Dunia ya sasa imebadilika na ukweli uko wazi mno. Pia kushindwa kusimamia maamuzi yanayochukuliwa ni shida kubwa sana katika uongozi wowote. hilo ni somo muhimu kwetu sote. Kabla hujaamua jambo fanya cosultations, Ukiamua jambo simamia. utaheshimika
  4. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda na Hukumu Yake

    Wewe huwezi pia kuwa MKRISTO sahihi, haujaponywa kwa damu ya yesu
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Padre: Askofu Pengo ailaumu Serikali ya Rais Kikwete

    What are you trying to insinuate K?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hongera sana na asante kwenu The Islamic Foundation!!

    Inaonekana wewe na huyo mlokole na watanzania wengi hamjui hata historia ya uchawi tafakari jambo kabla ya kusema
  7. K

    JamiiForums Tanzania At Last Daud Mwangosi is Laid to Rest

    Ama kweli binadamu ni kiumbe kisicho na thamani kikishatoka roho, Mungu tupe mwisho mzuri. Amin
  8. K

    JamiiForums Tanzania Introducing Google Nexus 7, Tablet ya BEI NAFUU DUNIANI

    Thank you very much, nimekupata
  9. K

    JamiiForums Tanzania Introducing Google Nexus 7, Tablet ya BEI NAFUU DUNIANI

    jamani naomba kufundishwa hapa android ni nini na inasaidia kitu gani?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nape azungumzia Harambee ya CHADEMA, wamjibu na kusema kakurupuka!

    Im thinking loud! What if he says the plain truth! same thing imetokea maeneo nchi nyingi, what if mataifa yaliyokosa yanataka kumnyanganya aliyepata at the expence of walalahoi? nafikiri hatupati hasara kwa kutafakari pia mustakbali wa taifa letu na si dhambi kujadili ukweli wake, kwenye...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nape azungumzia Harambee ya CHADEMA, wamjibu na kusema kakurupuka!

    What if sio propaganda? ni kweli, what if ikathibitika kweli,? what if .... Bado natafakari, na majibu ya hili hayatoki kwa mnyika anaonewa kijana wetu, wale wazee wenye chadema yao miaka hiyo... wanajua deep inside their heart,
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kikwete alikataa wimbo teule wa EAC kwa kudai ni wa "kikristo mno"

    umenichekesha sanarafiki yangu, haya mambo naona yanakaa kama kichama vile ukisema ukweli kama itaonekana umewatetea kundi fulani basi wewe ni wa dini ile! Mimi binafsi nimesikiliza huo wimbo, tangu utoto wangu ni mwimbaji wa kwaya mpaka sasa na nina uwezo wa kukwambia hii ni tune ya kanisani au...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kikwete alikataa wimbo teule wa EAC kwa kudai ni wa "kikristo mno"

    Dear Nyondo And others! this is not fair comment and you know it is not fair, Please be reminded! huu ni udhalilishaji wa watanzania na nchi yao kwa ujumla, Its not acceptale!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kusimamishwa kazi kupisha uchungu

    usijali wataalamu wanakuja, ila kwa kuanzia tu, inawezekana sana (kwa maelezo yako) utaratibu haujafuatwa, ila tazama human resource manual yenu, au kanuni za maadili ya kazi na adhabu zake, je ulimtolea mbovu wapi nayo ina nafasi yake, mbele za wafanyakazi wengine au.. ila usiwe na shaka...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ...

    Vijana bwana! ndio maana umri wa kuwa rais uko juu! unafkiri elimu peke yake inatosha hahahha
Back
Top Bottom