Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ...

Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2009
Posts
5,100
Reaction score
1,955
Elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
 
Kuwa na diploma pekee haitoshi wewe kuitangazia JF kuwa kuna uozo serikalini, lete uozo mwgine ama uozo ulioambatana na diploma hiyo
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
 
Kama ana diploma ya enzi za mwalimu na with over 10 years experience sioni tatizo.
Bse kwa wahasibu what matters ni practise.
Ata hazina kuna watu wamekalia vyeo pale wana diploma tuu plus 20 years experience
 
Si Tatizo kama mhusika ana experience ya kazi mda mrefu! Pia hapo kazini navyojua mimi ameshakula on-job training nyingi sana ambazo zinamfanya awe vizuri kuendana na mahitaji ya kazi husika! Pia niwaulize, hivi kunamtu anaweza kusema ya kwamba alivyosomea Masters ndicho anachofanyia kazi?
 
Serikalini mahesabu yake (government accounting) hayana complication hata ukiwa na cheti cha uhasibu achilia mbali diploma unaweza kuwa Mhasibu Mkuu ili mradi uwe na uzoefu wa muda mrefu kwenye government accounting na uwezo wa kiutawalana usimamizi. Kuwa na Diploma na Cheo kikubwa cha jinsi hiyo si ajabu serikalini.
 
Haha, WaTanzania ndo maana tunaliwa na kudhulumiwa kila kukicha. Yani hapa watu mnatetea elimu ya diploma kisa eti experience.

Hivi mambo mangapi tunasikia yameoza serikalini? Mtu amesoma enzi za nyerere, tena ka_diploma... Wakati duniani siku hzi accountants are professionals,..not only skills but also with new technologies.

Watu siku hizi wanaiba kwa technology na kujua vifungu flan flan kwenye accounts. Nina wasiwasi hata mhasibu wa Tanesco nae ana_experience ya 20, with kidiploma. (Ndo maana huwa wanalia hela hazionekani kwenye shirika, na wanapata tu hasara kila siku) Hahaha

Mbali na kuwa na experience, ukiwa na elimu ndogo, una_lacky confidence... Sishangai kuona hela zinachotwa meremeta, epa. Kama tuna wahasibu kama hawa.
 
Serikalini mahesabu yake (government accounting) hayana complication hata ukiwa na cheti cha uhasibu achilia mbali diploma unaweza kuwa Mhasibu Mkuu ili mradi uwe na uzoefu wa muda mrefu kwenye government accounting na uwezo wa kiutawalana usimamizi. Kuwa na Diploma na Cheo kikubwa cha jinsi hiyo si ajabu serikalini.

Tobaaaa...Duh mimi nilikua sijui hay.

Basi Ndo maana tunaibiwa sanaaa. Kumbe accounts za serikali mambo rahisi rahisi..
 
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?

There is no way you can compare National Accounting Diploma (NAD) with recently university graduates in accounting. It is just the system which lead he/she to be diploma holder but he went same years of training but the best is he did closed examination to acquire that qualification
 

There is no way you can compare National Accounting Diploma (NAD) with recently university graduates in accounting. It is just the system which lead he/she to be diploma holder but he went same years of training but the best is he did closed examination to acquire that qualification
Nimefanya kazi na kufundishwa na hao NAD holder wanatisha mbaya! CPA and ACCA holder wanachukua experience kwao! Hakuna NAD kilaza ndugu yangu.
 
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?

Yupo kulinda masirahi ya wakubwa usifuatilie fatilie utafukuzwa kazi
 
leteni tujadili utendaji wake na si Diploma yake! Zile NAD zilijenga wahasibu bora sana kuliko sisi wa zama hizi! Mtu bila kuona cheti kimeandikwa neno Degree anahakumu kabisa na utendaji!
 
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?

Afadhali ya hiyo diploma kuliko hawa vijana wa siku hizi wanaojifanya wana CPA wakati utendaji wao ni mbovu utafikiri hawakwenda shule kabisa......................!

 
leteni tujadili utendaji wake na si Diploma yake! Zile NAD zilijenga wahasibu bora sana kuliko sisi wa zama hizi! Mtu bila kuona cheti kimeandikwa neno Degree anahakumu kabisa na utendaji!

Haaaa.... Kweli humuu ni jamvi la vingwenduuu!!!!

Hivi diploma iwe na thaman hivyo hadi mutafute jinsi ya kumtetea??????


Hana elimu huyooooooooooooo..... Fukuza kaziiii
 
Back
Top Bottom