Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
Serikalini mahesabu yake (government accounting) hayana complication hata ukiwa na cheti cha uhasibu achilia mbali diploma unaweza kuwa Mhasibu Mkuu ili mradi uwe na uzoefu wa muda mrefu kwenye government accounting na uwezo wa kiutawalana usimamizi. Kuwa na Diploma na Cheo kikubwa cha jinsi hiyo si ajabu serikalini.
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
Nimefanya kazi na kufundishwa na hao NAD holder wanatisha mbaya! CPA and ACCA holder wanachukua experience kwao! Hakuna NAD kilaza ndugu yangu.
There is no way you can compare National Accounting Diploma (NAD) with recently university graduates in accounting. It is just the system which lead he/she to be diploma holder but he went same years of training but the best is he did closed examination to acquire that qualification
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?
leteni tujadili utendaji wake na si Diploma yake! Zile NAD zilijenga wahasibu bora sana kuliko sisi wa zama hizi! Mtu bila kuona cheti kimeandikwa neno Degree anahakumu kabisa na utendaji!