NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 594
- Thread starter
- #41
Kwa mazingira ya bongo bila SIM hizo ndude ni buure,usilinganishe na wakati huo juu ya laptop kutokuwa na SIM kunatokana na mazingara ya wakati huo,enzi hizo kulikuwa hakuna mambo ya modem,lakini siku hizi pamoja na laptop kutokuwa na option ya SIM lakini ina option ya kutumia modem,sasa tablet bila kuwa na SIM utatumiaje chukulia niko njiani nasafiri au niko vijijini,nafaikiri hao jamaa wamelenga soko la Majuu ambako huenda Wi-Fi connection ipo kila mahala
mkuu soma post yangu ya mwisho,
nimesema in six weeks kutakua na Nexus 7 ambayo ina 3G so ina maanisha kutakua na sehemu ya kuchomeka SIM-CARD bado nahapo unalalamika?