At Last Daud Mwangosi is Laid to Rest

At Last Daud Mwangosi is Laid to Rest

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
mwili ukiingizwa kaburini IMG-20120904-WA047.jpg
 
Mkuu ule haukuwa mwili wa marehemu bali ilikuwa ni nyama za marehemu.Kwenye mwili huone nyama za ndani.
 
Ama kweli binadamu ni kiumbe kisicho na thamani kikishatoka roho, Mungu tupe mwisho mzuri. Amin
 
huu hapa ndANI YA SANDUKU...KWELI NI NYAMA TU,............. IMG-20120904-WA029.jpg
 
IMG-20120904-WA054.jpg
masikini, ameletwa duniani kupitia kwenye ttumbo la mama yake na anarudishwa na machuma ya kutengenezwa na binadamu, tulimpenda lakini bomu limempenda zaidi
R.I.P. DM
 
Duh, upumzike kwa amani mpiganaji

wote tupo njiani tunaelekea huko huko...

dah kweli kifo............
 
mwisho wa maarifa.
Mwisho wa ujanja.
Mwisho wa lawama.
Mwisho wa majivuno.
Mwisho wa matukano na maudhi.


bado sijakuelewa yaani ni km vile hujafa hujaumbika waswahili wanasemaga
 
2kaze mwendo yote haya hatakwisha 2015 wakat cdm imeshika dola
 
Back
Top Bottom