Mimi kuna siku nilipiga wakapokea nakawaeleza tatizo la router ya internet ambayo nilikuwa nalipa na huduma sipati wakaniambia watanipigia. Nikasubiri hawakunipigia nikapiga kama mara saba hawakupokea. Nikaacha na sasa hivi nimeendela kutumia makampuni mengine kwenye mtandao. Kwakweli...
Samahani kidogo. Mimi nimegundua kuwa wanawake huwa wanatumia sana akili katika mapenzi kuliko sisi wanaume. Unaweza ukamdharau mwanamke kumbe anakusoma kimapenzi. Na akisha kuelewa akafanya lolote kama kuongeza spidi katika mapenzi. Tatizo letu wanaume tukisha kolea kwenye penzi akili ya...
Yaani nilikuwa naangalia live ndege imetua badala ya kuonyesha taxiing i.ie ndege kutembea kuja eneo la kusimama wao wanonyesha muziki wa bendi. Labda hii inatokana na upungufu wa kamera. Mheshimiwa Rais anongea ndani ya ndege wao wanakata transmission. Halafu mara nyingi tu wanaonyesa vichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.