Kwani kijani hawakuumpa mbinu zotemnagangwa atajilaumu mno,
kwanini hakuiba kura....
Ishu sio kuunga mkono,hakukuwa na demokrasiaInaonekana bado R. Mugabe bado ana ushawishi miongoni mwa Wazimbabwe wengi maana kusema hatakiunga mkono chama chake na kukiunga mkono chama pinzani imekuwa pigo kubwa sana kama matokeo yanaonyesha kweli upinzani unaongoza
Watasambaratikana wenyewe bila damu pale Bomu litakapolipuka Kati ya ccm asili wasugua bench,na ccm wa kuazima toka upinzani.Kama CCM itang'oka madarakan bhas lazma dam zmwagike
God is good always.... Wakati si milelebaada ya takribani miaka 40 ya utawala za Zanu pf hatimaye inaondoka kwa amani kabisa huku jeshi likikaa mbali na uchaguzi uliofanyika jana
Africa kwa mtazamo wa ndani kabisa Zanu pf,Ccm ya Tanzania na Bdp ya botswana ndio vyama vizee kabisa vilivyo madarakani kwa sasa
kwa mtazamo huu kama Zanu pf inag,oka basi bdp ijiandae na ccm wajiandae,hakika hakuna jambo la kudumu duniani.
kila la heri Zimbabwe mmetembea safari ndefu sana hakika
Anatafuta heshima kimataifamnagangwa atajilaumu mno,
kwanini hakuiba kura....
Ccm wanarudia kosa walilofanya KANU la kununua watu badala ya kushugulika na kero za wananchi. Hii mbinu hatowasaidia wananchi ndo mabosi,sio viongozi waunga mkono.mwenzio akinyolewa na wewe tia maji kichwa. Kwa hali ya kiuchumi ninayo iona vijijini na ccm wajiandae kisaikolojia wao wako busy na kununua wapinzani ama kuwahonga nafasi za uteuzi. lakini raia wako choka mbaya. tusubiri na sisi 2020 tukawapumzishe lumumba
Na,sku yao itafka tuuWatasambaratikana wenyewe bila damu pale Bomu litakapolipuka Kati ya ccm asili wasugua bench,na ccm wa kuazima toka upinzani.
Pale watakaporuhusu chaguzi huru,ndo itakuwa bye bye,Na,sku yao itafka tuu
Hii nayo n ngumu kuruhusu maana wamejaa ulafiPale watakaporuhusu chaguzi huru,ndo itakuwa bye bye,
Linakuja hilo subiria Bomu tu la ccm asili na ccm wahamiaji,watacheza kosa moja tu kama walivocheza KANU ndo itakuwa mwisho wao.Hii nayo n ngumu kuruhusu maana wamejaa ulafi
100%Ccm wanarudia kosa walilofanya KANU la kununua watu badala ya kushugulika na kero za wananchi. Hii mbinu hatowasaidia wananchi ndo mabosi,sio viongozi waunga mkono.