ndugu zangu waislamu sasa hapa hoja kubwa ni ipi, mambo ya imani haya tutabishana mpaka kesho na tutakufa tutayaacha. sisi waislamu tunapenda kubishania vitu vidogo sana ndio maana hata wenzetu wakristu wanatupuuzia tu! wakristu wanachinja kama kawa huko majumbani kwao na tunakula kama kawa...
hiyo udsm hata ingekuwa ya kwanza kidunia, tukiingia mtaani wote tunakuwa sawa tu na kutembea na vyeti mpaka tuchoke. cha msingi hapa tuhangaike na maisha yetu. kungekuwa na kipaumbele katika kupewa ajira kwa waliomaliza udsm hapo ningekubali. siku si nyingi udom mtatusikia kwenye bomba
elimu pia inaambatana na mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na malazi, nimesoma sua na sasa nipo udom kwa masters. kwa kweli udom wamejitahidi sana kujenga hostel nyingi sana na nzuri sana na haya yote ni kumfanya mwanafunzi asome katika mazingira mazuri. suala la hostel ni muhimu sana katika...
kwanza nawasalimu woote mliokwisha ripoti chuoni UDOM
vipi mnakionaje chuo chetu hicho?, vipi mazingira yanaridhisha? vipi watoto?
wale wa social sciences, hiyo ndio college maarufu hapo chuoni kwa kila kitu.
matamasha yote na burudani mbalimbali hufanyika hapo
kuna cafeteria maarufu hapo...
siku zote huwa nasema wenzetu hawa hawataendelea milele. huwezi kushughulikia matatizo yako kwa kulalamika always, kama wanataka kuendelea ifike siku moja wakae na wakristu wajaribu kupata ushauri namna ya kuendlea katika nyanja mbalimbali. waende maparokiani na usharikani wakajifunze kwa...
ndugu yangu uliyetaka kujua kuhusu college ya medicine ni kwamba kwanza kuhusu walimu ni kwamba wapo wa kutosha na wanaajiriwa kila mwaka. uzuri wa udom ni kwamba kila college inajitegemea kila kitu kama vile hostel, walimu, madarasa nk. pia pale medicine wanapaboresha ile mbaya, kwa sasa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.