Recent content by kibaha lukundo

  1. K

    Mwanza: Pinda aagiza waislam kuendelea kuchinja...

    ndugu zangu waislamu sasa hapa hoja kubwa ni ipi, mambo ya imani haya tutabishana mpaka kesho na tutakufa tutayaacha. sisi waislamu tunapenda kubishania vitu vidogo sana ndio maana hata wenzetu wakristu wanatupuuzia tu! wakristu wanachinja kama kawa huko majumbani kwao na tunakula kama kawa...
  2. K

    Vyuo vikuu bora afrika

    hiyo udsm hata ingekuwa ya kwanza kidunia, tukiingia mtaani wote tunakuwa sawa tu na kutembea na vyeti mpaka tuchoke. cha msingi hapa tuhangaike na maisha yetu. kungekuwa na kipaumbele katika kupewa ajira kwa waliomaliza udsm hapo ningekubali. siku si nyingi udom mtatusikia kwenye bomba
  3. K

    Waziri Mwakyembe aunda Bodi Mpya ya Bandari; avunja bodi ya zamani

    safi mwakyembe tuko nyuma yako na tunakuombea
  4. K

    Chuo Kikuu cha Sokoine Morogoro, Hostel ni tatizo!

    elimu pia inaambatana na mazingira mazuri ikiwa ni pamoja na malazi, nimesoma sua na sasa nipo udom kwa masters. kwa kweli udom wamejitahidi sana kujenga hostel nyingi sana na nzuri sana na haya yote ni kumfanya mwanafunzi asome katika mazingira mazuri. suala la hostel ni muhimu sana katika...
  5. K

    mliochaguliwa UDOM

    kwanza nawasalimu woote mliokwisha ripoti chuoni UDOM vipi mnakionaje chuo chetu hicho?, vipi mazingira yanaridhisha? vipi watoto? wale wa social sciences, hiyo ndio college maarufu hapo chuoni kwa kila kitu. matamasha yote na burudani mbalimbali hufanyika hapo kuna cafeteria maarufu hapo...
  6. K

    Manung'uniko ya waislam na miaka 13 baada ya kifo cha Mwl Nyerere

    siku zote huwa nasema wenzetu hawa hawataendelea milele. huwezi kushughulikia matatizo yako kwa kulalamika always, kama wanataka kuendelea ifike siku moja wakae na wakristu wajaribu kupata ushauri namna ya kuendlea katika nyanja mbalimbali. waende maparokiani na usharikani wakajifunze kwa...
  7. K

    Warembo wa SUA mwanipotezea concentration mwenzenu..!!

    sasa ungekuwa Udom si ungekufa. pale warembo wote wa nchii wamemwagwa pale
  8. K

    Saut

    jamaa wana mpango wa kuwa na matawi kila mkoa. hivi MUM mbona hakuna hata kijitawi sehemu yoyote
  9. K

    Lugha yetu

    hivi tz tunatumia lugha gani
  10. K

    rule of law

    rule of law ni suluhisho la matatizovyooooooooooooote
  11. K

    kumekucha

    jamani za asubuhi kumekucha kwa wale wakristu kama kawa tujiandae kwenda makanisani mimi nasali misa ya pili leo jpil njema kristu...
  12. K

    Saut

    hawa jamaa kweli hawataki utani, A yao inaanzia 80, manaoenda pale kusoma mjue pale ni kama seminari maaskofu hawataki utani
  13. K

    Udom

    ndugu yangu uliyetaka kujua kuhusu college ya medicine ni kwamba kwanza kuhusu walimu ni kwamba wapo wa kutosha na wanaajiriwa kila mwaka. uzuri wa udom ni kwamba kila college inajitegemea kila kitu kama vile hostel, walimu, madarasa nk. pia pale medicine wanapaboresha ile mbaya, kwa sasa kuna...
  14. K

    Welcome first year 2012 Sokoine University Of Agriculture

    ila msome sua sio pa mchezo, mi nimemaliza pale 2008
  15. K

    Chuo Kikuu Cha SAUT Chabadilisha Jina

    gud. hawa jamaa wamejipanga hata serikali inawaheshimu. mambo yao yanatisha
Back
Top Bottom