Chuo Kikuu Cha SAUT Chabadilisha Jina

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Chuo Kikuu cha Mt.Augustine (SAUT) tawi la Bukoba kimebadilishwa jina kutoka SAUT - Bukoba na kuwa KADRINALI RUGAMBWA UNIVERSITY COLLEGE OF SAUT. Uamuzi huo umefanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) ambao ni wamiliki wa chuo kikuu cha SAUT.
 
It is a good way of remember his devotion to spread of catholicism in Tanzania.
 
gud. hawa jamaa wamejipanga hata serikali inawaheshimu. mambo yao yanatisha

Walianza zamani kimikakati ilhali wengine wakiwa usingizini, ndo wanaamka sasa lazma fujo zijiri kwa kiitwacho 'usawa'. Ni hapo kwenye bold tu, si nje ya mada.
 
Sina tatizo na kubadilisha jina, ila hoja yangu iko kwenye jina lenyewe:
Kama jina la zamani lilikuwa SAUT (Saint Augustine University of Tanzania) - Bukoba, na sasa limebadilishwa kuwa KARDINALI RUGAMBWA UNIVERSITY COLLEGE of SAUT, ina maana jina jipya la chuo linakuwa; KARDINALI RUGAMBWA UNIVERSITY COLLEGE OF SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA ! Mbona kuna kujirudia kwa neno university kwenye jina hilo hilo moja?
 
Hili jina lina utata. Labda lingekuwa KARDINALI RUGAMBWA UNIVERSITY COLLEGE: A Constituent University of SAUT.
 
Ni vizuri pia....
Wao wanachoma makanisa ss tunaongeza vyuo, hospitali na shule..

kwa maana ya SISI nadhani una maana kuwa wewe ni MUUMINI wa Kikristu, sio wale wa kristu jina au sio??
 
Kwani muslims hawana vyuo?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom