UPDATE
Level ya Foundation kwa masomo niliyotakiwa nimeikamilisha baada ya matokeo kutoka leo hii (23/12/2019), nime-pass kwa alama B kila somo. Najipanga na hatua itayofuata mwakani! Hadi niujue ukweli kwa kushiriki kikamilifu kwa vitendo.
Baada ya kupitia hoja zote za pande mbili, nimeamua kuchukua fomu ya kujisajili (www.nbaa.go.tz). Aidha, nimefika mwenyewe ofisi za NBAA Dodoma na kuwasilisha kile nilichonacho (vyeti) na baada ya wao kuvipitia, nikatakiwa kuanzia Foundation na angalau nifanye masomo mawili ya Financial...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.