Ukweli Mchungu: Ukitaka Mafanikio Makubwa, Usiwe 'Fair'

Hujui maana na neno fair
Umeongea vitu vya msingi sana, hongera kwa hilo.

Tatizo langu bado natafakari jinsi ulivyochagua kutumia neno fair, sifikirii ni mahali sahihi ulivyolitumia.

Kutokua fair, inawezakua hauheshimu au kulinda haki za wengine.

Mie nikifanya kazi masaa 14 ndani ya yale 24 sioni kama sijawa fair kwa mtu.

Kuna mahali niliwahi kusoma, hakuna njia moja ya uhakika kufikia mafanikio, lakini njia ya kuaminika na ya uhakika ya kutofanikiwa, ni kujaribu kumfurahisha kila mtu.
"Fair"
 
Penye kafara fafanua vizuri hapo boss
Kuna vitu ambavyo unavipenda sana, ambavyo ni kikwazo kwako kupata mafanikio unayoyataka.
Unapaswa kuviacha vitu hivyo (kutoa kafara) ili uweze kufanikiwa.
Siyo zoezi rahisi kwa sababu ni vitu umeshavizoea, ndiyo maana naita kutoa kafara, ni kitu kitakachokuumiza.
 
Kuna vitu ambavyo unavipenda sana, ambavyo ni kikwazo kwako kupata mafanikio unayoyataka.
Unapaswa kuviacha vitu hivyo (kutoa kafara) ili uweze kufanikiwa.
Siyo zoezi rahisi kwa sababu ni vitu umeshavizoea, ndiyo maana naita kutoa kafara, ni kitu kitakachokuumiza.

Kwa ufupi ni kukubali kupoteza baadhi ya vitu unavyovipenda kufanikisha jambo litakalokupatia manufaa ya muda mrefu na ya kudumu.
 
Kwa kweli andiko limetulia sana. Pia limenivua nguo maana hatua zote zimenigusa moja kwa moja
 
Atoae nguvu za kupata Utajiri ni Mungu tu


Dhana ya kuwahi kuamka na kuchelewa kulala kwamba itakufanya usiwe tajiri inaonyesha hujui mipangilio

Jitihada haizid kudra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom