Piga 600 * 100,000wamekula yangu 600
Mpaka wewe??? Hebu tuwapige kipai paiWameshakula 800 yangu



Anza *152*00#Mnielekeze nikipiga hiyo menu nachagua nini
AhahahahahAnza *152*00#
kisha chagua 3. Ajira na Utambuzi
chagua 2. NIDA
baada ya hapo fuata maekekezo ukiwa na salio la 100/= ya sadaka
Ha ha ha, si utani Mkuu.N = nakata
I = iende
D = direct kwenye
A= account ya NIDA.
NIDA WANAKATA 100/= ZAIDI YA HAPO BASI UMEANGALIA ZAIDI YA MARA 1. ILA TATIZO NI KUCHELEWA KUJA KWA MAJIBU