Wanabodi salama?
Nafikiria kuingia kwenye biashara ya tiles (ceramic na porcelain) importing kutoka nje ya nchi.
Nna uelewa kidogo wa hizi products kupitia kwa mafundi wa tiles na kudeal na suppliers pale kariakoo.
Naweza kuanzisha hapa hapa Dar au Dodoma.
Ingawa wauzaji wapo wengi ila...
Mkuu vipi kama unanunua plot yenye HATI ipo kwa jina la kampuni (family business) ? Je capital gain bado ni 10%? Kampuni iko dormant since 2011. Shareholders ni mzee na watoto wake. Mzee ndio anauza na shareholders wame approve kwenye kikako mzee auze na hela ingie kwenye account ya mzee.
1. Weka return policy. Labda ya week 1 pale mteja asiporidhika na bidhaa basi anairudisha na wewe unamrudishia hela yake.
2. Weka system ya reviews na ratings kwenye platform yako. Yani wateja wawekze kutoa reviews pale wanaporidhika na product.
3. Kua na reliable delivery company, ukisema...
Developers wa apps inabidi watambue wabongo wengi wananunua smartphones kwa ajiri ya sababu kuu mbili tu, 1) Entertainments na 2) Communications. Entertainment kwa maana watu wengi wanataka waweze kutumia social media platforms kiurahisi kama Instagram, facebook, youtube au twitter na maybe...
Yusuph Manji na makashikashi alizopata bado yupo kwenye top 10? Kweli yuko vizuri jamaa. Halafu nimegundua hawa matajiri wote wameinvest kwenye consumer goods. Duh mbantu mmoja tu hapo, labda na bilionea laizer wa tanzanite ataongezeka hapo
Ukitaka kuwa millionea tatua matatizo ya watu elfu moja, ukitaka kuwa billionea kama bakhresa inabidi utatue matatizo ya watu million moja, ukitaka kuwa trilionea kama bill gate au mark zuckerberg tatua matatizo ya watu bilioni moja.
Habari Wadau..
Wote tumeguswa na msiba wa tajiri wetu mweusi Mr. Mengi aliyekuwa anaenda level zisizopishana sana na Watanzania weupe
Wasifu wake unaonesha hata yeye hakukanyaga chuo kikuu chetu ..
Na hapo hapo akapata akili ya kuwa tajiri na industrialist mkubwa sana...
Je, elimu yetu ipo...
Wakuu,
Nina application yangu nimeiachia play store inaitwa hellodokta (Beta version release now) inayousu maswala ya afya ya uzazi wa kike na kiume pamoja na afya ya mtoto. Basically app hii inakuwezesha kuuuliza swali au kuomba ushauri anonymously na kujibiwa na verified doctor instantly...
Wakuu,
Natafuta kampuni nzuri yenye low transactions fee and great customer service inayotoa mobile payment API for android apps, specifically node sdk integration.
Nahitaji kuintegrate payment gateway kwenye app yangu.
Nimecheki nyingi naona ziko Kenya.
Shukrani wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.