Nafanya online business, mwenzangu ulifanikiwa vipi suala la uaminifu?

kokudo

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
2,546
1,662
Karibuni kwa mjadala nafanya online business lakini nimekuwa nakutana na swala la Uaminifu

Ni kweli dunia Imeharibika kuhusu Uaminifu je mwenzangu ulifanikiwa vipi kuhusu Uaminifu mtu anahofia kukupa kazi
Karibuni


cc. CONTROLA
 
Mpe uhuru na Muulize kama kuna chochote anachohitaji kutoka kwako ambacho anahisi kitamsaidia endapo kutatokea lolote, Mfano

Jina halisi, Kitambulisho, Namba zako nyingine, Sehemu unayoishi, Sehemu ya Kazi, sehemu ya biashara, picha n.k

Na wewe kama kweli unajiamini huna nia ovu, mpe...,
Ndio unahitaji mteja, ila pia epuka kumharakisha sana,
 
Naongeza mpe na namba ya familia ikiwa atakukosa atatumia namba ya familia.
 
Mpe uhuru na Muulize kama kuna chochote anachohitaji kutoka kwako ambacho anahisi kitamsaidia endapo kutatokea lolote, Mfano

Jina halisi, Kitambulisho, Namba zako nyingine, Sehemu unayoishi, Sehemu ya Kazi, sehemu ya biashara, picha n.k

Na wewe kama kweli unajiamini huna nia ovu, mpe...,
Ndio unahitaji mteja, ila pia epuka kumharakisha sana,
Asante sana Mkuu
 
Online Business changamoto yake kubwa ni unapoanza kutafuta wateja waaminifu hii ni biashara unayoifanya na watu wasiojulikana,na kwakua wewe (muuzaji) humjui mteja hata mmoja inakupasa uingie ktk risk ambayo si risk kivileee ila n risk

Wateja wa online hawaaminiki na ktk makosa watu wengi wa online huyafanya ni kuonyesha wasi wasi kwa mteja, au ile kutomuamini mteja ndio mana utaskia wakimwambia mteja ili tukutumie mzigo "lipia kwanza"

Mteja humuamini ila wewe unataka akuamini alipie wakati hakujui (shenzi kabsa),ni kosa la jinai kumuonyesha mteja humuamini au una wasi wasi nae,sasa Utafanyaje ili usipoteze mzigo/bidha yako unayomtumia mteja usie mjua?

Umepata mteja wa Mwanza wewe muuzaji upo Tanga,chakufanya ongea na mteja wako vizuri kabisa,tumianeni picha za bidhaa anayotaka mteja mpk mfikiane muafaka,akisharidhika na kuafiki kapenda bidhaaa A mwambie Kesho utamtumia

Alipo,hapo hakikisha umeshaongea nae kuhusu gharama za usafirishaji mzigo + mzigo wenyewe Mkishakubaliana,wala usionyeshe kutaka hela kwa mteja wako,muonyeshe unamuamini 100% ila moyoni mwako imani nae ipo 0.5%,baada ya kuafikiana

Funga mzigo wako tayari kwa kuutuma/safirisha,mpigie picha ya jinsi ulivyoufunga mpk ulivyouchora juu ya box lake,baada ya hapo unapoenda kuutuma mzigo wako sasa (HAPA NDIPO PAMUHIMU) mwambie konda au huyo unaemkabidhi

Mzigo asiutoe bila kupewa kias husika unachomdai mteja au kuepusha kupeana hela mkononi Mteja afanye muamala wa mzigo wake kisha wewe muuzaji ukipokea muamala ukathibitisha ndipo unampa go ahead Konda amkabidhi mzigo,Hapo maana yake mteja anakua na amani na wewe unakua na amani.

Ila maswala ya kumwambia mteja atume hela ya usafiri kwanza au hela ya bidhaa huo ni uzwazwa,umeamua kufanya online business elewa kuna matapeli lkn pia elewa si wote ni matapeli wapo Real customers ambao wanahitaji caring kubwa sana.

Muhimu msome mteja wako huyu n mteja au tapeli,unaweza tu kumsoma bila hata tatzo na ukijua n tapeli usimuonyeshe umemshtukia kwakua bado huna uhakika nenda nae taratbu TU.

Kama n tapeli atakupa hasara ya wewe kulipia tu usafiri lkn hatoweza kkutapeli mzigo wako kama utaamua kufata nilichokiandika.Muhimu na la kuweka kichwani Muonyeshe mteja unamuamini na usiwe na haraka na Malipo.

Kauli mbiu yako iwe Huduma kwanza,Malipo Badae
 
Online Business changamoto yake kubwa ni unapoanza kutafuta wateja waaminifu hii ni biashara unayoifanya na watu wasiojulikana,na kwakua wewe (muuzaji) humjui mteja hata mmoja inakupasa uingie ktk risk ambayo si risk kivileee ila n risk

wateja wa online hawaaminiki na ktk makosa watu wengi wa online huyafanya ni kuonyesha wasi wasi kwa mteja, au ile kutomuamini mteja ndio mana utaskia wakimwambia mteja ili tukutumie mzigo "lipia kwanza"

mteja humuamini ila wewe unataka akuamini alipie wakati hakujui (shenzi kabsa),ni kosa la jinai kumuonyesha mteja humuamini au una wasi wasi nae,sasa Utafanyaje ili usipoteze mzigo/bidha yako unayomtumia mteja usie mjua?

Umepata mteja wa Mwanza wewe muuzaji upo Tanga,chakufanya ongea na mteja wako vizuri kabisa,tumianeni picha za bidhaa anayotaka mteja mpk mfikiane muafaka,akisharidhika na kuafiki kapenda bidhaaa A mwambie Kesho utamtumia

Alipo,hapo hakikisha umeshaongea nae kuhusu gharama za usafirishaji mzigo + mzigo wenyewe Mkishakubaliana,wala usionyeshe kutaka hela kwa mteja wako,muonyeshe unamuamini 100% ila moyoni mwako imani nae ipo 0.5%,baada ya kuafikiana

funga mzigo wako tayari kwa kuutuma/safirisha,mpigie picha ya jinsi ulivyoufunga mpk ulivyouchora juu ya box lake,baada ya hapo unapoenda kuutuma mzigo wako sasa (HAPA NDIPO PAMUHIMU) mwambie konda au huyo unaemkabidhi

mzigo asiutoe bila kupewa kias husika unachomdai mteja au kuepusha kupeana hela mkononi Mteja afanye muamala wa mzigo wake kisha wewe muuzaji ukipokea muamala ukathibitisha ndipo unampa go ahead Konda amkabidhi mzigo,Hapo maana yake mteja anakua na amani na wewe unakua na amani.

ila maswala ya kumwambia mteja atume hela ya usafiri kwanza au hela ya bidhaa huo ni uzwazwa,umeamua kufanya online business elewa kuna matapeli lkn pia elewa si wote ni matapeli wapo Real customers ambao wanahitaji caring kubwa sana.

Muhimu msome mteja wako huyu n mteja au tapeli,unaweza tu kumsoma bila hata tatzo na ukijua n tapeli usimuonyeshe umemshtukia kwakua bado huna uhakika nenda nae taratbu TU.

Kama n tapeli atakupa hasara ya wewe kulipia tu usafiri lkn hatoweza kkutapeli mzigo wako kama utaamua kufata nilichokiandika.Muhimu na la kuweka kichwani Muonyeshe mteja unamuamini na usiwe na haraka na Malipo.

kauli mbiu yako iwe Huduma kwanza,Malipo Badae
Asante sana Mkuu
 
Kua huru kwa mteja wako
Mpe option zaidi ya moja
Usiwe na tamaa
Ukifanya na watu kumi tofauti nakuhakikishia umewinn maisha

Kuna jamaa yupo zenj sijawah kumuona popote tulikutana humu
First time nlifanya nae business ya 350000 ikaenda pow
Last time nmemtumia 5m na business imetiki pia
 
1. Weka return policy. Labda ya week 1 pale mteja asiporidhika na bidhaa basi anairudisha na wewe unamrudishia hela yake.

2. Weka system ya reviews na ratings kwenye platform yako. Yani wateja wawekze kutoa reviews pale wanaporidhika na product.

3. Kua na reliable delivery company, ukisema unadeliver mzigo ndani ya siku moja basi mzigo umfikie mteja ndani ya siku moja
 
Process yako ndefu sana na utapeliwa mara kibao, we mwambie ofisi yetu hii imesajiliwa kwa jina hili leseni yetu ni hii kama huna lesen tuma kitambulisho cha kupiga kula au nida kama ana mtu mkoan ambao wew upo amtume aje ofisin , laa sivyo alipe kama ikishindikana achana na hiyo biashara itakugalimu na utajutia uamuzi wako wa kutuma huo mzigo
Asante

Hata mimi nimeanza kwa kusajiri Kisheria jina la Biashara mwakani nitasafiri kampuni hope itapunguza maswali kidogo
 
Process yako ndefu sana na utapeliwa mara kibao, we mwambie ofisi yetu hii imesajiliwa kwa jina hili leseni yetu ni hii kama huna lesen tuma kitambulisho cha kupiga kula au nida kama ana mtu mkoan ambao wew upo amtume aje ofisin , laa sivyo alipe kama ikishindikana achana na hiyo biashara itakugalimu na utajutia uamuzi wako wa kutuma huo mzigo
Nikikutumia kitambulisho changu kwa pcha,leseni na kila taarifa kwenye simu

Inatosha wewe kuniamini? hamna njia yeyote inayoweza kufanya mtu asiekuona

Akakuamini,labda tu aamue mwenyewe kukuamini ila sio zile taarifa ulizompa asee

Watu wanatambulisha mama,baba,ndugu,majirani,mjumbe, wote hao Feki leo et aje

Akuamini kwa vi txt na msg tu,wakat kashawahi tapeliwa mpk na Afisa mtendaji Feki.
 
Nafanya hii biashara mwaka wa 5 Sasa. Cha Kwanza elewa Kuna kiwango Cha pesa ambacho
mteja asiyekujua anaweza kutuma ,Mara nyingi ni chini ya elf 50. Napo so wote. Baadhi ya njia za kujenga uaminifu, kuwa na forum ya maswali na majibu kuhusu bidhaa yako ,mfano WhatsApp group hata JF, na mrejesho wa bidhaa toka kwa wateja waliopita hizi njia 2 zinainua online business kwa Kasi kubwa
 
Biashara ya online lazima uwe na utaratibu wako

Mfano mm , mteja akiitaji bidhaa yangu na mwambia Kama yupo Dar pesa atatoa akipokea bidhaa yake

Kama nje ya Dar atalipia kwanza pamoja na Gharama za usafiri anatumiwa mzigo wake.

Kama akiwa haamini Basi kama ana mtu anayemfahamu Dar atupe no zake atapelekewa huko ,yeye atamalizana na huyo jamaa yake.

Hii njia imenisaidia sana
 
Karibuni kwa mjadala nafanya online business lakini nimekuwa nakutana na swala la Uaminifu

Ni kweli dunia Imeharibika kuhusu Uaminifu je mwenzangu ulifanikiwa vipi kuhusu Uaminifu mtu anahofia kukupa kazi
Karibuni


cc. CONTROLA
Tanzania mambo bado bado sana kenya hapo kuna watu wana system yao ambayo inasaidia malipo kwa njia zote bank transfer, na mobile wallet, lakini ile pesa inabaki kwenye escrow account mpaka mteja atakapo confirm kuwa kapata mzigo wake au kazi yake. Ni kama vile paypal wanavyoshikilia malipo mpaka client aconfirm
 
Biashara ya online lazima uwe na utaratibu wako

Mfano mm , mteja akiitaji bidhaa yangu na mwambia Kama yupo Dar pesa atatoa akipokea bidhaa yake

Kama nje ya Dar atalipia kwanza pamoja na Gharama za usafiri anatumiwa mzigo wake.

Kama akiwa haamini Basi kama ana mtu anayemfahamu Dar atupe no zake atapelekewa huko ,yeye atamalizana na huyo jamaa yake.

Hii njia imenisaidia sana
Nami ndo njiani natumia.
 
Back
Top Bottom