Recent content by Keanu

  1. K

    Nitume sokoni

    Hapana, service charge ni kwa manunuzi ya bidhaa za sokoni. Ukinunua juice hakuna service charge. Juice Tsh 2000/lita, usafir 1000. Gharama kuu itakua ni shilingi 3000
  2. K

    Nitume sokoni

    Nawasalimia wana jamii forum. Naitwa Rosie nafanya delivery ya bidhaa za sokoni, mfano pilipili hoho, nyanya, karoti, mchele, mafuta ya kupikia, maharage, viungo na mahitaji mengine. Niko mabibo sokoni geti la viazi, ofisi ipo karibu na ofisi ya madalali wa ndizi na viazi. Kuna kontena kwa...
  3. K

    Nauza mchele mzuri, nipo Dar es Salaam

  4. K

    Vitambulisho vya Selestini Endrew Mbena au Joseph Selestini Endrew

    Vitambulisho vimeokotwa kituo cha Chama kama unaenda Segerea vimeletwa kanisa la TAG DMC. Opposite na kituo cha Chama. Tusaidiane kusambaza ujumbe mwenyewe apate taarifa.
  5. K

    Mbona Walimu hawateuliwi kwenye bodi mbalimbali?

    Walimu hawana uelewa mpana wa Mambo. Mtu kasoma Kiswahili, arts, kwenye hio bodi anaenda kufanya biashara gani.
  6. K

    Daktari wa Upasuaji akiri kuiba machine ya kuangalia mapigo ya Moyo Hopitali ya Rufaa Simiyu na kuiuza Mkoani Mwanza

    Mishahara ni midogo Sana, chuoni nakosoma unakuta lecturer mwenye PhD yake anahangaika na kuku, wengine vihostel, wengine Hadi ruhuma maisha wanayoishi. Ndo maana efficiency inapungua na mtu anakua sio productive. Stress na maisha. Kuna doctor mmoja rafiki yangu nafuga nae nguruwe. Binafsi Hilo...
  7. K

    Napataje Database ya Majina ya Viwanda vyote Nchini Tanzania?

    Kuna siku niligoogle nini sijui ikaja list ya viwanda vyote Tanzania, na contact zao. Ngoja niangalie. Ukiona kimya ujue nimeshindwa.
  8. K

    Natafuta mtoto wa kulipia Ada form one kijijini

    Elimu sio bure Teena, malipo yamerud
  9. K

    Nina safari ya kuelekea Marekani, nawaombeni ambae ameshawahi kufika anipe elimu

    Ni kitu cha kawaida. New York kuko busy Sana. Hasahasa pale Times square. Maisha yako tofauti. Nilikaa hotelini sikupata chance ya kuinteract Sana na watu wa New York. Sema kuko expensive Sana. Ukiweza nenda na majimbo mengine. Mimi nilienda Georgia.
  10. K

    Pesa ninayopata ni ndogo?

    Mimi natumiwa laki Kwa mwez, kila kitu humo. Maisha ni kujipanga. Ukijipanga vizur hio hela unaweza save 50k kila mwez.
  11. K

    Hivi hii imekaaje, ni kwangu tu au kwa wote?

    Na mimi ni hivyo hivyo sema nahisi kwasababu nasoma sana vitabu usiku ndo maana. Ila unaweza kujitune ukalala kama kawaida.
  12. K

    Elimu bure iondolewe, watu waanze kulipa Ada

    Habar naomba kuchangia Mimi ni mmoja wa wanufaika wa elimu bure. Japo ni kwa mwaka mmoja tu 2016 nilikua form four. Advance elimu sio bure kuna ada kama kawaida. Nililipa kwa sasa nipo chuo kikuu. Ada ni laki na hamsini mbaka laki na themanini (ukichukua ada plus additional cost). Alaf kila...
  13. K

    Swahili tutor on zoom

    Hello, I am currently available and I would appreciate to take the opportunity. Please consider my application. Regards Keanu
  14. K

    Ni maeneo gani ya kujiajiri?

    Siku hizi wanaita SAOC analysis
Back
Top Bottom