Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 166
- 452
Hello Guys!
Naombeni Mwenye kujua jinsi navyoweza kupata Contact za Viwanda na Makampuni yote ya uwekezaji Nchini!.
NINACHO KITAKA NI
1. LOCATIONS ZAO.
2. CONTACT EMAIL ZAO.
3. AINA YA KIWANDA NA SERVICE INAYOTOA.
4. MUDA KILIPONANZA OPERATIONS ZAKE HAPA NCHINI.
Locations inaweza kuwa kimkoa kwa mkoa au Kitaifa.
Nimeseach mtandani sipati.. je nikitaka napata wapi kwa ufasaha?
Email yangu kwa atakaye kuwa nayo ni:
ubunifulink@gmail.com
Naombeni Mwenye kujua jinsi navyoweza kupata Contact za Viwanda na Makampuni yote ya uwekezaji Nchini!.
NINACHO KITAKA NI
1. LOCATIONS ZAO.
2. CONTACT EMAIL ZAO.
3. AINA YA KIWANDA NA SERVICE INAYOTOA.
4. MUDA KILIPONANZA OPERATIONS ZAKE HAPA NCHINI.
Locations inaweza kuwa kimkoa kwa mkoa au Kitaifa.
Nimeseach mtandani sipati.. je nikitaka napata wapi kwa ufasaha?
Email yangu kwa atakaye kuwa nayo ni:
ubunifulink@gmail.com