Mbona Walimu hawateuliwi kwenye bodi mbalimbali?

Mbona Walimu hawateuliwi kwenye bodi mbalimbali?

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
654
Reaction score
721
Ninekuwa nikiona watu wanaoteuliwa kwenye bodi mbalimbali ambazo mamlaka za uteuzi ni rais au mawaziri.

Wanateua watu ambao ni mabig fish tu. Watu ambao tayari wako well off. Ila sijawahi kuona mwalimu hata mmoja ameteuliwa.

Jamani huu ni uonevu, halafu nchi hii ni yetu sote jamani. Inakuwaje keki ya nchi wanakula watu wachache tena wale wale.

Jamani mamlaka za teuzi wakumbukeni walimu jamani
 
Maprofesa waliojaa kwenye teuzi ni akina nani kama sio walimu? In short kada iliyokula teuzi za kutosha miaka ya hivi karibuni ni kada ya ualimu acha kulalamika.
 
Maprofesa waliojaa kwenye teuzi ni akina nani kama sio walimu? In short kada iliyokula teuzi za kutosha miaka ya hivi karibuni ni kada ya ualimu acha kulalamika.
Walimu wa sekondari na primari bana.We wamejaa maprofesor ambao wao walikiwa kwenye mawizara n.k alaf unasema ni walimu.
 
Magufuli na Nyerere walikua walimu wenzenu,but hakuna aliyewakumbuka.
Hebu acheni mzaha.Unamzungumzia mtu ambaye amekulia kwenye kotido za ikulu kisa ni mwalimu unasema walimu wamelamba teuzi.Natarajia kusikia mwalimu wa shule ya sekondari namtumbo au rufiji amrkuea mjumbe wa bodi.Naye ana mchango mzuri tu.Siyo tunalundikiwa madokta na maprofesa ambao wana mavyeo kibao.Jamani hii nchi ni ya wote,kila mtu apate keki.
 
Hebu acheni mzaha.Unamzungumzia mtu ambaye amekulia kwenye kotido za ikulu kisa ni mwalimu unasema walimu wamelamba teuzi.Natarajia kusikia mwalimu wa shule ya sekondari namtumbo au rufiji amrkuea mjumbe wa bodi.Naye ana mchango mzuri tu.Siyo tunalundikiwa madokta na maprofesa ambao wana mavyeo kibao.Jamani hii nchi ni ya wote,kila mtu apate keki.
Ongeza elimu ufikie level ya PhD huenda watakukumbuka
 
Ninekuwa nikiona watu wanaoyeuliwa kwenye bodi mbalimbali ambazo mamlaka za uteuzi ni rais au mawaziri.Wanateua watu ambao ni mabig fish tu.Watubambao tayari wako well off.Ila sijawahi kuona mwalimu hata mmoja ameteuliwa.Jamani huu ni uonevu,alaf nchi hii ni yetu sote jamani.Inakuwaje keki ya nchi wanakula watu wachache tena wale wale.
Jamani mamlaka za teuzi wakumbukeni walimu jamani
Walimu hawana uelewa mpana wa Mambo. Mtu kasoma Kiswahili, arts, kwenye hio bodi anaenda kufanya biashara gani.
 
Wakiteuliwa nani atafundisha?
Kumbuka walimu ndiyo wanatumika kuiba kura kwahiyo ni moja ya nguzo muhimu.
Hebu acheni mzaha.Unamzungumzia mtu ambaye amekulia kwenye kotido za ikulu kisa ni mwalimu unasema walimu wamelamba teuzi.Natarajia kusikia mwalimu wa shule ya sekondari namtumbo au rufiji amrkuea mjumbe wa bodi.Naye ana mchango mzuri tu.Siyo tunalundikiwa madokta na maprofesa ambao wana mavyeo kibao.Jamani hii nchi ni ya wote,kila mtu apate keki.
 
Mukiwachagua walimu na sisi mabodaboda tunataka nafasi maan tunajua kusoma na kuandka
 
Sisi walimu ni vilaza. Nikiwa nafundisha pale Mawe Matatu Misungwi nilishuhudia ukilaza wetu.
 
Back
Top Bottom