Nawasalimia wana jamii forum.
Naitwa Rosie nafanya delivery ya bidhaa za sokoni, mfano pilipili hoho, nyanya, karoti, mchele, mafuta ya kupikia, maharage, viungo na mahitaji mengine. Niko mabibo sokoni geti la viazi, ofisi ipo karibu na ofisi ya madalali wa ndizi na viazi. Kuna kontena kwa pembeni ndo hapohapo.
Pia nauza juice ya matunda (passion, embe na parachichi) na juice ya muwa.
Lita moja Tsh 2000 kwa juice ya matunda.
Juice ya muwa pure lita 3 Tsh 12000 pamoja na usafir. Karibuni sana.
MUHIMU. mteja utanunua mahitaj kwa gharama za sokoni, utagharamika service charge na usafir. Service charge ni Tsh 3000/huduma. Usafir itategemea na eneo ulipo.
Ukinunua juice tu utalipia delivery service basi, hakutakua na gharama za service charge.
Mawasiliano 0766510504.
Naitwa Rosie nafanya delivery ya bidhaa za sokoni, mfano pilipili hoho, nyanya, karoti, mchele, mafuta ya kupikia, maharage, viungo na mahitaji mengine. Niko mabibo sokoni geti la viazi, ofisi ipo karibu na ofisi ya madalali wa ndizi na viazi. Kuna kontena kwa pembeni ndo hapohapo.
Pia nauza juice ya matunda (passion, embe na parachichi) na juice ya muwa.
Lita moja Tsh 2000 kwa juice ya matunda.
Juice ya muwa pure lita 3 Tsh 12000 pamoja na usafir. Karibuni sana.
MUHIMU. mteja utanunua mahitaj kwa gharama za sokoni, utagharamika service charge na usafir. Service charge ni Tsh 3000/huduma. Usafir itategemea na eneo ulipo.
Ukinunua juice tu utalipia delivery service basi, hakutakua na gharama za service charge.
Mawasiliano 0766510504.