Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,142
- 45,808
Tarime ni wilaya Boss,na Chato ni wilaya bado haijawa Mkoa na pia sina hakika kama Kinondoni na Temeke ni mikoa maana ingekua na mkuu wa mkoaIna wezekana,mbona Chato inaitwa mkoa ikiwa nda ya mkoa wa Geita,
Mkoa wa Kinondoni,mkoa wa Temeke,mkoa wa Tarime.