Pesa ninayopata ni ndogo?

Pesa ninayopata ni ndogo?

So in that case always nabaki na 32000,sabuni is there kila wiki lazima ninunue,1000+kuogea 1500 =30500...na vingine vidogo vidogo yani always nabakiwaga na 20000
Acha ujinga. Nunua miche miwili ya sabuni jamaa ambapo ni Kama elfu tano. Fulià na kuogea hiyo hiyo jamaa.

Achana na masuala ya pafyumu mtoto wa kiume unayelelewa. Lotion tafuta Mult butter ya elfu 12 unaitumia miez miwili .
 
Dada nilitaka kukushauri kitu ila nimeona niache tu baada ya kusoma hii comment nikuambie tu akuwa wengine tumesoma miaka hii hii ya Magu na hatukuwa na boom na hiyo elfu 40 ni budget ya mwezi mzima.

Wewe wakishua bana endelea kula bata tu. Maana kwa matumizi hayo ukianzisha biashara lazima ujifilisi mwenyewe.
Nishauri tu naweza nikabadilika....yani nilinunua viatu vilifika pea kumi na vyote vimekatika katika mikanda saizi naona it s better kununua simple najua simple nikiwa na pea ata 5 zinatosha kuliko iv vya 8000 kila siku unanunua
 
Nishauri tu naweza nikabadilika....yani nilinunua viatu vilifika pea kumi na vyote vimekatika katika mikanda saizi naona it s better kununua simple najua simple nikiwa na pea ata 5 zinatosha kuliko iv vya 8000 kila siku unanunua

Viatu nunua vya bei inayoeleweka vitakaa na viatu havivaliwi kila siku pair hiyo hiyo hapana kuwa na almost minimum three pairs per week, unabadilisha kwa official business kama chuon na kuwa na sandals nyingine za kawaida za kuvaa nyumbani ukinunua hivyo haununui viatu vingine kwa miezi na utakuwa umesave pesa.

NB: usiwe unavaa pair ya kiatu kila siku hiyohiyo lazima kiishe uwe una switch kiatu kimoja unavaa mara mbili au moja kwa week haviharibik.
 
Hapo kwenye viatu kila wiki panakuua, na hapo kwenye bundle buku 2 per day, unafanys nini mtandaoni?? Bila shaka ni instagram tu.
Mi nakumbuka nilifutaga app zote zinamaliza bando langu nikabaki na browsers kwa ajili ya jf tuu. Unajikuta bundle la wiki unakaa nalo hata siku 4.

Jiwekee limit ya matumizi labda kwa siku wewe unatukia buku 3 tuu na sio zaid ya hapo. Na pia uwe unaandika kila utachofanya kinachogusa mfuko wako, andika hata cha sh. 100. Mwisho wa wiki unajipima ni wapi umefanya upuuzi na wapi urekebishe na wapi hapakwepeki uweke njia mbadala.

Malengo unayo, naona jinsi ya kuyatekeleza ndo inakupa shida. Na upunguze uslay queen hiyo viatu kila wiki ni matumizi mabaya ya pesa tu.
 
Nipo chuo Nina mpango wa kufanya biashara lakini biashara hii nahitaji chumba, kwa wiki natumiwa tsh elfu 40, nipo mkoa mgumu katika kupata mahitaji nikimaanisha vitu bei ghali.

Sasa jamani kila Jumapili natumiwa Pesa tajwa hapo juu lakini kila ikija ijumaa au Jumamosi lazima nikope watu ela ya kula, ela huisha katikati haifiki Jumapili, kwa nilivyojifatilia nimeona Vocha inamaliza sana ela hasa kwa upande wa bando lakini sio bando tu kila ifikapo Jumapili nanunua kila kitu ambacho sina. Maradhi kwa ujumla lakini utakuta katika 40 always nabakiwa na 20 tu, 20 inakuwa imetumika kununua vitu ambavyo sina mf. Viatu, pafyumx, lotions, sabuni, kulipa madeni kwa wanaonidai etc.

Always inabaki humo kama sio 20 basi 18_16, sasa saizi Nina mpango wa kupunguza matumizi ili nilipie chumba cha biashara na niazishe biashara ndogo iweze kunipa faida niweze kuendesha maisha baada ya chuo na nipo semi ya mwisho. Sijui nitaweza!!!!!!!!!
Mimi natumiwa laki Kwa mwez, kila kitu humo. Maisha ni kujipanga. Ukijipanga vizur hio hela unaweza save 50k kila mwez.
 
Back
Top Bottom