Recent content by Katkit

  1. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Acha tusubiri, muda utaongea
  2. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Taarifa rasmi itatoka, ila kwenye mfumo wa e-Watumishi tayari mambo yashabadilika.
  3. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana, ukawe Mtumishi mwadilifu.
  4. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    CONFIRMED!! Maafisa Utumishi na Maafisa Utawala wote waliokuwa wanaanza na TGS D, sasa wamehamishwa mpaka TGS E which means wataanza na salary ya 1.15m kwa TGS E1. OKTOBA NITATIKI HATA MARA MBILI KAMA INAWEZEKANA
  5. Katkit

    Samia Scholarships students 2025-2026 mwenye nayo atuwekee hapa please

    Me nadhani kusingekuwa na ulazima wa kuwachuja hao best performers. Kama kweli kuna nia ya kuwapa scholarship kwa watoto waliofanya vizuri mitihani yao ya kidato cha sita then wapewe wote tu.
  6. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimesharipoti na nimepewa ruhusa ya siku 14 ya kujiandaa so tar 17 ndio naenda kuanza kazi rasmi In Shaa Allah!
  7. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimejipata kwenye PDF la leo, Alhamdulillah! Tuendelee kuwa na subira hakika kwa Mungu kila jambo linawezekana.
  8. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    :oops: hao waliotaka wakuue tu kmmk hhahahahahah
  9. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Amina sana Mkuu, tuombeane Kheri Insha Allah
  10. Katkit

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral...
  11. Katkit

    DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

    DPW analipa vizuri kuliko TPA sijui marupurupu mengine
Back
Top Bottom