Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwan ukisikia neno mtihani unaelewa nn?

Inawezekana hiki ☝️ ulichokiandika ndio mtihani wnyw.

Mm kushindwa kupata kazi pamoja na kufanya mitihani/saili kadhaa sidhani kama ni hoja ya msingi mana pale tunakuwa wengi wenye uwezo tofauti ila kwenye hii ishu ya watumishi ni wanakuwa wao wnyw kwenye cycle inayowafahamu vzr.
Mbaga hivi kwani bado tu hujapata kazi Gavoo?
 
Msaada : hizi ofisi za secretariat ya ajira tambukareli ni maeneo gani hapa dodoma ....
 
Mahakama Tanzania paper lilikuwa rahisi nini mbona ni majanga hivi japo cutting point hamtaki kuonyesha.. 😄 😄
 
Mbona kama mmechoka au na nyie ni wajumbe🤭IT kauchubua na nyie tena kimya mnatutisha bwana! 😅
 
University, institute,or college?
Kuna wanangu wawili mwaka jana waliingia oral ya tutorial assistant chuo kimoja hivi Dar. Wao walitoswa kwani alihitajika mtu mmoja tu, mwezi May mwaka huu wamepata placement taasisi kubwa tu za serikali Kupitia database sababu ya hio oral ya tutorial assistant.
 
Kuna wanangu wawili mwaka jana waliingia oral ya tutorial assistant chuo kimoja hivi Dar. Wao walitoswa kwani alihitajika mtu mmoja tu, mwezi May mwaka huu wamepata placement taasisi kubwa tu za serikali Kupitia database sababu ya hio oral ya tutorial assistant.
Kuna mwingine kapata leo database TBA Kupitia interview ya Tutorial assistant hadi najuta kwanini sikwenda kwenye hizo interview.
 
Kuna mwingine kapata leo database TBA Kupitia interview ya Tutorial assistant hadi najuta kwanini sikwenda kwenye hizo interview.
Watu hawajui database ina apply everywhere mtu anakuja kupotosha umma eti nafasi za kufundisha vyuoni hazina database,kikubwa upate ile alama inayohitajika
 
CONFIRMED!!
Maafisa Utumishi na Maafisa Utawala wote waliokuwa wanaanza na TGS D, sasa wamehamishwa mpaka TGS E which means wataanza na salary ya 1.15m kwa TGS E1. OKTOBA NITATIKI HATA MARA MBILI KAMA INAWEZEKANA
 
Back
Top Bottom