Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 3,088
- 4,089
Hongera sanaNashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral niweze kupata ajira Insha Allah.