Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral niweze kupata ajira Insha Allah.
Hongera sana
 
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral niweze kupata ajira Insha Allah.
Hongera sana Mkuu, sasa endelea kujiaandaa vyema, kuomba kwa sana pia usisahau kuvunja kabati siku iyo maana apo ndipo kwenye ushindi wa mwisho
 
Habari! Mwenye abc za nafasi ya Customers Officer TRA naomba anisaidie jamani kwenye written au kama kuna group ambayo kunafanyika discussion.
 
Hivi kwa T.RA ,, baada ya written huchukua siku ngapi kuita watu kwenda kufanya oral ??

Lengo langu niweze kuweka budget vizuri ,, maana my plan nikishafanya written nigeuke siku hiyo hiyo
 
Hivi kwa T.RA ,, baada ya written huchukua siku ngapi kuita watu kwenda kufanya oral ??

Lengo langu niweze kuweka budget vizuri ,, maana my plan nikishafanya written nigeuke siku hiyo hiyo
Mara ya mwisho walichukua karibia mwezi mzima ndio wakatoa majibu
 
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral niweze kupata ajira Insha Allah.
Neema ya Mungu iwe pamoja nawe.
Ushuhuda ujao, utakuja kutoa ni WA kupangiwa kazi Tena sehemu nzuri sana.
 
Kwa upande wa" deed poll" hapo ina tegemea na matakwa yako kwa maana wame weka options mbili yani kuna ya hapo kwa hapo kupata deed poll ila kuna malipo kadhaa ya juu kidogo inabidi ulipie bank ndio ufanyike mchakato huo na kuna njia nyingine ya kusubiria kwa siku mbili mpaka tatu nayo pia inalipiwa bank lakini kwa kiasi kidogo cha pesa pale Ardhi, na hii ni kwa sababu yenyewe inachukua muda wa siku kadhaa kutoka ndomana bei ipo chini.
Asante
Mwifwa mkuu, au kwa yeyote anaejua kama cheti cha kuzaliwa au deed poll ni majina matatu (Ngiri Mkia Juu) ila vyeti vya kitaaluma ni (Ngiri M Juu) inaweza leta shida utumishi au usaili wowote
 
Habari! Mwenye abc za nafasi ya Customers Officer TRA naomba anisaidie jamani kwenye written au kama kuna group ambayo kunafanyika discussion.
Guys wale wa RISK OFFICER II, Group hili hapa mje tupeane madini.

Ingia humo waombe link watakupa hao ndio wenzio wapo humo changanyikeni kwa hio omba link unapewa changamka bado siku 4 tu za kujitetea nafasi zenyewe chache mnakuja watu laki na upuuzi soma na usome kweli
 
Back
Top Bottom