3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,410
- 15,657
Hivi maswali yanayoulizwa kwenye written ndiyo hayohayo pia unaulizwa kwenye oral au kunakuwa na tofauti wakuu?
Hua ni tofauti, kwa kada yangu niliulizwa maswali tofauti ila yote ukiondoa swali la kwanza ambalo hua ni common la Kujielezea we mwenyewe mengine yalikua niya fani yanguHivi maswali yanayoulizwa kwenye written ndiyo hayohayo pia unaulizwa kwenye oral au kunakuwa na tofauti wakuu?
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?Hua ni tofauti, kwa kada yangu niliulizwa maswali tofauti ila yote ukiondoa swali la kwanza ambalo hua ni common la Kujielezea we mwenyewe mengine yalikua niya fani yangu
Mbungi inapigwa hapa-
- kwenye nchi hii wenye mishahara mikubwa sio wabunge tu mbunge analipwa 16m, mkuu Kuna Majaji, CEO wa mashirika makubwa, CEO wa mabenki na wafanyakazi waliofikia managerial cadre,makamishna wa TRA
- kama take home haifiki 5m ww si uache kazi ukawe kama diamond
- ofisa wa ngazi gani wa Tanroads anayelingana na mabosi wangu wa halmashauri? Mkurugenzi wa halmashauri huyo yupo level ya managerial cadre huyo alitakiwa alinganishwe na Meneja wa Tanroads mkoa na sio entry level wa Tanroads
Mkuu kula shule tuu sanaa, inasaidia kuongeza confidence, japo sometimes wanatoa maswali ya uelewa, lakini kula shule ni muhimu..Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popoteAsante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Kwa hiyo huko mjengoni. Kwa sasa unakula honoraria mkuu au unasubiri pdf ya majina?Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popote
Muda sana hua wanasema ni dk 15 ila mi kiukweli sijui hata kama zangu zilifika 10, nilikua na kiwewe, ilikua ndo mara yangu ya kwanza kuhudhuria Interview
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.
Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani kwenye mfumo na kuweka anuani ya nilipo kwa sasa ila barua ile inasoma anuani ya awali (huwezi badilisha tena ukishatuma maombi).
Je, shortlist ikitoka watanipangia nikafanye usaili Mkoa "X" au "Y"?
Mkuu, asante sana.😄😄Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
Ukiwa na connection au mkono mrefu unaweza kukichukua dakika kumi baada ya kuomba Yani unaambiwa nenda kanywe chai ukirudi utakuta kipo kwenye bahashaWasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Cheti cha kuzaliwa kinachukua muda wa siku Saba toka kitumwe Rita mkuuWasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Kwa upande wa" deed poll" hapo ina tegemea na matakwa yako kwa maana wame weka options mbili yani kuna ya hapo kwa hapo kupata deed poll ila kuna malipo kadhaa ya juu kidogo inabidi ulipie bank ndio ufanyike mchakato huo na kuna njia nyingine ya kusubiria kwa siku mbili mpaka tatu nayo pia inalipiwa bank lakini kwa kiasi kidogo cha pesa pale Ardhi, na hii ni kwa sababu yenyewe inachukua muda wa siku kadhaa kutoka ndomana bei ipo chini.Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Namshukuru Allah nilibahatika kuingia katika Utumishi wa UmmaKwa hiyo huko mjengoni. Kwa sasa unakula honoraria mkuu au unasubiri pdf ya majina?
Kukuita kazini watu interview tu tangu mwaka jana walioomba mwezi wa 6/7/8/9/10/11 hawajaitwa wewe unasema kuitwa kazini?Utumishi kama kuna kosa niliwakosea nisameheni.
Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuniita kazini😭😭😭???
Hongera Sana mkuu, kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaNamshukuru Allah nilibahatika kuingia katika Utumishi wa Umma