Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hua ni tofauti, kwa kada yangu niliulizwa maswali tofauti ila yote ukiondoa swali la kwanza ambalo hua ni common la Kujielezea we mwenyewe mengine yalikua niya fani yangu
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
 
  • kwenye nchi hii wenye mishahara mikubwa sio wabunge tu mbunge analipwa 16m, mkuu Kuna Majaji, CEO wa mashirika makubwa, CEO wa mabenki na wafanyakazi waliofikia managerial cadre,makamishna wa TRA
  • kama take home haifiki 5m ww si uache kazi ukawe kama diamond
  • ofisa wa ngazi gani wa Tanroads anayelingana na mabosi wangu wa halmashauri? Mkurugenzi wa halmashauri huyo yupo level ya managerial cadre huyo alitakiwa alinganishwe na Meneja wa Tanroads mkoa na sio entry level wa Tanroads
-
Mbungi inapigwa hapa
 
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Mkuu kula shule tuu sanaa, inasaidia kuongeza confidence, japo sometimes wanatoa maswali ya uelewa, lakini kula shule ni muhimu..
 
Asante sana mkuu, kwa hiyo kwenye maswali ya fani hapo ni yale ya kawaida juu ya uelewa wako kuhusu fani husika hayahusiani na madesa au lazima tena kukomaa na desa? Maximum muda ni dk ngapi?
Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popote

Muda sana hua wanasema ni dk 15 ila mi kiukweli sijui hata kama zangu zilifika 10, nilikua na kiwewe, ilikua ndo mara yangu ya kwanza kuhudhuria Interview
 
Soma kiongozi, maswali yanakua ndani ya modules ulizosoma kuanzia first year kwa level yangu mfano diploma waliniuliza maswali ma 5, na yote yalikua ya level 4, 5 na 6 wanachukua tu popote

Muda sana hua wanasema ni dk 15 ila mi kiukweli sijui hata kama zangu zilifika 10, nilikua na kiwewe, ilikua ndo mara yangu ya kwanza kuhudhuria Interview
Kwa hiyo huko mjengoni. Kwa sasa unakula honoraria mkuu au unasubiri pdf ya majina?
 
Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.

Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani kwenye mfumo na kuweka anuani ya nilipo kwa sasa ila barua ile inasoma anuani ya awali (huwezi badilisha tena ukishatuma maombi).

Je, shortlist ikitoka watanipangia nikafanye usaili Mkoa "X" au "Y"?
 
Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.

Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani kwenye mfumo na kuweka anuani ya nilipo kwa sasa ila barua ile inasoma anuani ya awali (huwezi badilisha tena ukishatuma maombi).

Je, shortlist ikitoka watanipangia nikafanye usaili Mkoa "X" au "Y"?
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
 
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
Mkuu, asante sana.😄😄
Itabidi tuende VETA kama alivosema PM.
"X" iliwakilisha Mwanza
"Y" iliwakilisha Dar Es Salaam
 
Kumekucha wakuu
 

Attachments

  • IMG-20250321-WA0005.jpg
    IMG-20250321-WA0005.jpg
    123.6 KB · Views: 4
Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Ukiwa na connection au mkono mrefu unaweza kukichukua dakika kumi baada ya kuomba Yani unaambiwa nenda kanywe chai ukirudi utakuta kipo kwenye bahasha
 
Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Kwa upande wa" deed poll" hapo ina tegemea na matakwa yako kwa maana wame weka options mbili yani kuna ya hapo kwa hapo kupata deed poll ila kuna malipo kadhaa ya juu kidogo inabidi ulipie bank ndio ufanyike mchakato huo na kuna njia nyingine ya kusubiria kwa siku mbili mpaka tatu nayo pia inalipiwa bank lakini kwa kiasi kidogo cha pesa pale Ardhi, na hii ni kwa sababu yenyewe inachukua muda wa siku kadhaa kutoka ndomana bei ipo chini.
 
Utumishi kama kuna kosa niliwakosea nisameheni.

Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuniita kazini😭😭😭???
Kukuita kazini watu interview tu tangu mwaka jana walioomba mwezi wa 6/7/8/9/10/11 hawajaitwa wewe unasema kuitwa kazini?

Katika watu siwakubari ni hawa jamaa wa PSRS mizinguo kichizi yaan just imagine TRA wametoa nafasi mwezi mmoja tu hapo mwezi huu majina yametoka watu wanaenda kupiga interview tarehe 30 safi kabisa nawapongeza TRA ila hawa mbwa PSRS tangu mwaka jana ngoma inasoma Received tu hakuna kuitwa interview hakuna nini

Wengine ambao wanazingua kwenye ajira ni Uhamiaji, Jeshi la Polisi na JW, Zimamoto, hawa kuna vipengele wanaviweka ni vya kifala sana siku nataka niwatolee uvivu niwachane

PSRS wanazingua kichizi yaan sio kabisa yaan km vipi hao wanaopitia PSRS wawe na mifumo yao wenyewe km ilivyo TRA muda mfupi tu watu wanaitwa interview, sio PSRS mwaka mzima hakuna kuitwa
Screenshot_20250323_012426.jpg

Hapo Mama mjamzito kajifungua na mtoto kashaanza kunyonya PSRS wamegoma kuita watu interview
 
Back
Top Bottom