Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.

Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani kwenye mfumo na kuweka anuani ya nilipo kwa sasa ila barua ile inasoma anuani ya awali (huwezi badilisha tena ukishatuma maombi).

Je, shortlist ikitoka watanipangia nikafanye usaili Mkoa "X" au "Y"?
 
Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.

Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani kwenye mfumo na kuweka anuani ya nilipo kwa sasa ila barua ile inasoma anuani ya awali (huwezi badilisha tena ukishatuma maombi).

Je, shortlist ikitoka watanipangia nikafanye usaili Mkoa "X" au "Y"?
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
 
Mkuu siku nyingine uwe unataja kabisa jina la mkoa, mambo ya X na Y ni sawa unaturudisha shule kutafuta thamani ya X, wakati tumeambiwa twende VETA 😂.
Kwa kujibu swali lako: Usahili utapangiwa kufanyia mkoa Y.
Mkuu, asante sana.😄😄
Itabidi tuende VETA kama alivosema PM.
"X" iliwakilisha Mwanza
"Y" iliwakilisha Dar Es Salaam
 
Kumekucha wakuu
 

Attachments

  • IMG-20250321-WA0005.jpg
    IMG-20250321-WA0005.jpg
    123.6 KB · Views: 24
Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Ukiwa na connection au mkono mrefu unaweza kukichukua dakika kumi baada ya kuomba Yani unaambiwa nenda kanywe chai ukirudi utakuta kipo kwenye bahasha
 
Wasomi kwemaaa?
i) kwa wazoefu, cheti cha kuzaliwa kinachukua muda gani kutoka baada ya kuomba mtandaoni?
ii) Deed poll inachukua muda gani kusajiliwa ardhi?
Kwa upande wa" deed poll" hapo ina tegemea na matakwa yako kwa maana wame weka options mbili yani kuna ya hapo kwa hapo kupata deed poll ila kuna malipo kadhaa ya juu kidogo inabidi ulipie bank ndio ufanyike mchakato huo na kuna njia nyingine ya kusubiria kwa siku mbili mpaka tatu nayo pia inalipiwa bank lakini kwa kiasi kidogo cha pesa pale Ardhi, na hii ni kwa sababu yenyewe inachukua muda wa siku kadhaa kutoka ndomana bei ipo chini.
 
Utumishi kama kuna kosa niliwakosea nisameheni.

Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuniita kazini😭😭😭???
Kukuita kazini watu interview tu tangu mwaka jana walioomba mwezi wa 6/7/8/9/10/11 hawajaitwa wewe unasema kuitwa kazini?

Katika watu siwakubari ni hawa jamaa wa PSRS mizinguo kichizi yaan just imagine TRA wametoa nafasi mwezi mmoja tu hapo mwezi huu majina yametoka watu wanaenda kupiga interview tarehe 30 safi kabisa nawapongeza TRA ila hawa mbwa PSRS tangu mwaka jana ngoma inasoma Received tu hakuna kuitwa interview hakuna nini

Wengine ambao wanazingua kwenye ajira ni Uhamiaji, Jeshi la Polisi na JW, Zimamoto, hawa kuna vipengele wanaviweka ni vya kifala sana siku nataka niwatolee uvivu niwachane

PSRS wanazingua kichizi yaan sio kabisa yaan km vipi hao wanaopitia PSRS wawe na mifumo yao wenyewe km ilivyo TRA muda mfupi tu watu wanaitwa interview, sio PSRS mwaka mzima hakuna kuitwa
Screenshot_20250323_012426.jpg

Hapo Mama mjamzito kajifungua na mtoto kashaanza kunyonya PSRS wamegoma kuita watu interview
 
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kufanya Written Interview kwa mara ya kwanza juzi Ijumaa pale UDSM (Human Resource Officer II), nimepata majibu leo na nimekuwa selected kwenda Oral Dodoma. Hakika Mungu ni Mkuu mno, tuendelee kumtumainia yeye bila kukata tamaa. Naamini atasimama na mimi katika Oral niweze kupata ajira Insha Allah.
 
Back
Top Bottom