Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna mdogo wangu amechaguliwa Oral ya MDAs & LGA yeye yuko Lindi lkn anaona kazi za LGA kwake sio kipaumbele anataka kuforce TRA nimeshindwa kumshauri nawezaje kumuelewesha akubali kupiga oral za LGA akipata hata akipangwa Kibakwe huko aende tu.
 
Kuna mdogo wangu amepachaguliwa Oral ya MDAs & LGA yeye yuko Lindi lkn anaona kazi za LGA kwake sio kipaumbele anataka kuforce TRA nimeshindwa kumshauri nawezaje kumuelewesha akubali kupiga oral za LGA akipata hata akipangwa Kibakwe huko aende tu.
Auna haja ya kumshauri mwambie ukweli tuu kwamba asiweke mayai yote kwenye kapu moja ivyo ni vyema kuwa na makapu mawili kisha agawanye mayai
Kama akielewa huo msemo unamaana gani basi atakuwa amekuelewa kwa nini ni muhimu kufanya interview za MDAs and LGAs
 
Kuna mdogo wangu amepachaguliwa Oral ya MDAs & LGA yeye yuko Lindi lkn anaona kazi za LGA kwake sio kipaumbele anataka kuforce TRA nimeshindwa kumshauri nawezaje kumuelewesha akubali kupiga oral za LGA akipata hata akipangwa Kibakwe huko aende tu.
Kumbe wameshaita oral? Lini wameita mkuu?
 
Auna haja ya kumshauri mwambie ukweli tuu kwamba asiweke mayai yote kwenye kapu moja ivyo ni vyema kuwa na makapu mawili kisha agawanye mayai
Kama akielewa huo msemo unamaana gani basi atakuwa amekuelewa kwa nini ni muhimu kufanya interview za MDAs and LGAs
muache,akili kumkichwa
 
Back
Top Bottom