Nahitaji masada wakuu wapi na weza pata huduma ya PEP
Kipindi hiki cha sikuu maana nimetembelea hospital kadhaa hapa mjini dar , meambiwa huduma mpaka jumatatu , nikipiga hesabu kwa rafu niliyocheza mpaka Juma tatu masaa 72 yatakua yameshakwisha.
Rafu nilicheza usiku Wa kuamakia Jana alhamis...
Wazo zuri mkuu, karibu kwangu me nauza vifaa vya umeme, nina TV za chogo na flat, deki, Radio, feni, pasi, blenda ,na fenicha za kichina zipo karibu sana mkuu tufanye kazi
Sasa kama unakazi hifadhi huo mshahara wako kwa kupunguza matumizi ili upate mtaji, kama huwezi kuhifadhi hicho unachokipata basi achana na mawazo ya Biashara .
Fuata ushaur aliokupa cuty shy, hata hiyo leseni ya biashara achana nayo kwanza ww kafungue tu biashara tuu ukitaka ufuatilie kila kitu kwa huo mtaji wako hautafanikiwa kwan gharama nyingi zitaenda kwenye malipo ya kodi za serekali, tena hata siku ya kwenda tra kutafuta tin usijichanganye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.