CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,261
Habari wakuu,
Swala la Ujasiriamali ni swala gumu sana na watu wengi hujichanga mashahara wake wa miaka hata 5 ili aanze project, Mtu hujinyima kula, kustarehe na mambo mengine ili tu akusanye mtaji wa kuanza biashara.
Wengine hukopa, wengine huuza Mali, na kadhalika.
Sasa kosa huanza pale unapoa anza biashara mfano ya:
- Hoteli
-Baa
- Ufugaji wa kuku
-Kilimo
-Duka na kadhalika
Kuanzia ile siku ya kwanza tu mtu anakaimisha madaraka kwa aither Shemeji, mke/mme, Dada ake, kaka ake, mjomba, shangazai na kadhalika.
Hapo ni project ya milioni hadi 40 au 50, baada ya hapo mwenye mali huendelea na kazi na kuanza kuongoza kwa simu,
- Vipi leo wateja wamekuja wengi?
-Vipi mauzo?
- Vipi kuku wametaga leo?
Kuku wamekula?
- Mboga umemwagilia leo?
Hapa wewe unajivua risk na kukabidhi watu wengine.
Elewa kwamba hakuna atakaye take risk kwa niaba yako, wewe mwenye idea simamia biashara yako, wewe ndo unajua unataka kufika wapi na biashara yako, Hata mke/mme hawezi jua,
Kuanza biashara siku ya kwanza na kukaisha ndo safari ya kushindwa inapo anzia.
Swala la Ujasiriamali ni swala gumu sana na watu wengi hujichanga mashahara wake wa miaka hata 5 ili aanze project, Mtu hujinyima kula, kustarehe na mambo mengine ili tu akusanye mtaji wa kuanza biashara.
Wengine hukopa, wengine huuza Mali, na kadhalika.
Sasa kosa huanza pale unapoa anza biashara mfano ya:
- Hoteli
-Baa
- Ufugaji wa kuku
-Kilimo
-Duka na kadhalika
Kuanzia ile siku ya kwanza tu mtu anakaimisha madaraka kwa aither Shemeji, mke/mme, Dada ake, kaka ake, mjomba, shangazai na kadhalika.
Hapo ni project ya milioni hadi 40 au 50, baada ya hapo mwenye mali huendelea na kazi na kuanza kuongoza kwa simu,
- Vipi leo wateja wamekuja wengi?
-Vipi mauzo?
- Vipi kuku wametaga leo?
Kuku wamekula?
- Mboga umemwagilia leo?
Hapa wewe unajivua risk na kukabidhi watu wengine.
Elewa kwamba hakuna atakaye take risk kwa niaba yako, wewe mwenye idea simamia biashara yako, wewe ndo unajua unataka kufika wapi na biashara yako, Hata mke/mme hawezi jua,
Kuanza biashara siku ya kwanza na kukaisha ndo safari ya kushindwa inapo anzia.