Recent content by karisti

  1. K

    Kwa graduates msio na ajira ....faraja..

    ebwanaee! mawazo yako mazuri sana ndugu, hayo mashambe yanapatikana wapi? Na je huuzwa kwa bei gani kwa ekari? na je tangawizi hukua vizuri katika mazingira gani? VP kuhusu hizo gharama, c unajua wengi chokambaya, ukitaka mkopo masharti kibao, so itakuwaje mkuu-saidia kutoa ushauri wa kupata...
  2. K

    Nafasi za Kazi VETA

    Be patient guys, they are still finalizing the recruitment process, you will be notified after its completion. Kwa kifupi ni kwamba taratibu za kuajiri bado hazijakamilika. Mtaarifiwa zitapokuwa tayari.
  3. K

    Wat so special with TRA?

    yaani hujui, acha utani ndugu! kwanza ni rushwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! pili posho!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! tatu Gawio!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! nne overtime!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! endeleza zingine
  4. K

    Kazi ubalozi wa sweden -tanzania

    wADAU NIMESIKIA HIVI KARIBUNI UBALOZI WA SWEDEN HAPA BONGO WALITOA NAFAS YA KAZI, KUNA YEYOTE ALIZINYAKA ANIJUZE NATANGULIZA SHUKRANI
  5. K

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    kaaaaaaaazi kwelilkweli. tatizo lingine kubwa ni kujichua, nako kunapunguza nguvu za kiume saaaaana, hivyo unashauriwa kuacha
  6. K

    Hotuba ya Zitto Kabwe Bungeni Juni 15, 2011 - Bajeti Mbadala

    nape achaneni nae huyo, hana mpango wowte, anatumiwa na magamba, but hataweza hii game
  7. K

    Hii ndiyo timu ya Kuwakomboa Watanzania

    Moto wa chadema hautazimika kamwe haya ya sasa ni rasharasha 2, mambo yenyewe yaja siku za usoni
  8. K

    Serikali: CHADEMA inapewa pesa kutoka nje kuleta machafuko Tanzania

    we simba acha kubwabwaja, ccm imeona wananchi wanavyoendelea kukosa imani na serikali yao hivyo wanaogopa ulaji wao utaisha
  9. K

    Wanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini wafunga...

    kweli hii noma. naona ushakuwa mchezo kwa kila chuo kugoma au ndo style ya 2011.
  10. K

    GE2010 Tundu Lissu naye mwendo mdundo...!

    msiwe na hofu ameshinda. LISU Ni KISU kwa CCM. Mpiganaji wa dhati:nono::smile-big:
  11. K

    Hii Kali!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! huyo jamaa akatubu maana hairuhusiwi kabisa, ywezekana mwenzake alifurahia but, haikubaliki. mstumie tigo. nanihii huwa zinaziba, shauri zenu, why tigo enewei
  12. K

    People's power ya Dr Slaa kuvunja amani Tanzania?

    Mwaka huu hatutaki mchezo. Nguvu ya wananchi itazaa matunda hadi wanasisiem washangae, wengine watazimia pale watakapoona watu makini wakiongozwa na SLAA watakaposhika hatamu kuikomboa nchi hii kutoka kwenye uongozi dhalimu,fedhuli, katili, uliojaa rushwa, ubabaishaji, conservatives, wezi...
  13. K

    Majimbo yenye wabunge wa chadema

    ni kuacha porojo na ulafi na kufanya kazi kwa bidii. Kiongozi safi ni yule anayejali awaongozao! Huishi nao hujua matatizo yao na kuyatafutia ufumbuzi. Viongozi wetu wengi hufanya kazi kwa mazoea na bila malengo na hukosa uzalendo ndiyo maana maendeleo hakuna.
  14. K

    Tanzania yashinda tuzo ya mdg kwa kufanya vizuri katika elimu

    Nchi yetu kufikia ufanisi bado kabisa. Hatuna budi kuvuta socks kwa malengo. wenzetu wa Rwanda dalili njema BBC asubuhi ilitoa habari kuwa wameshaanza kusambaza laptops kwa kila mwanfunzi nchini mwao. Tanzania hiyo itawezekana???????????. Kweli tuache blaa blaa, Tuamue kufanya changes na changes...
  15. K

    GE2010 Nimeipenda hii...

    Na bado! tusubirie makubwa zaidi hapo siku za usoni, wananchi wamechoshwa na ubabe na ufisadi wa SISI EM.
Back
Top Bottom