The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,427
- 13,388
Asalam aleikhum waungwana ! leo The only naona nibadilishane nanyi juu ya hili.
Ni wazi hali ya ajira kwa sasa ni ngumu unaweza tuma barua 100 usijibiwe hata moja na ukijibiwa ni kukushukuru kwa kuomba na kukupotezea kulinda reputation yao ,kwa hili mwenzenu nina ushauri tofauti.
mimi naona kilimo ndo iwe focus yenu sisemi muwe wakulima mazima ila naamini graduate angepata mtaji wa warau 10 million anaweza kujipanga akatumi taaluma yake kujiajiri na after miaka 10 akawa milionea mwenye mchango mkuu kwa familia,ndoa,jamii na taifa kwa ujumla.
Mfano ukilima tangawizi gharama yake ni 1.5 kwa ekar at maxmum ila ata minimum mavuno ni tani 6000x1500=milion 9 tayari unaweza kulipia eneo mwaka ukaanzisha biashara ,au ukipanda miti ekari nzima kwa mbeya iringa
mchanganuo
Kununua ekari 5 200000
kulima na kupanda 100000
miti 2000@500 100000
uasafiri ,accomodatin fro DAR 200000
other 200000
Total capital 800000
Sales 2000@30000 60000000(mil 60) hii ni current price na ina appreciate ndani ya miaka minne tuu.
AIDHA MIMI NAEONGE NILIWAHI KUAJIRIWA BENKI NIKALIMA NDO KUVUNA NIKARESIGN TENA 24 HRS NA HATA PPF SIJAENDA KUCHUKUA MAFAO.
Tatizo letu tuna husisha utozi na usomi ,hakuna sheria kuwa eti msomi lazima avae tai huo ni upuuzi sisi ni nchi masikini tukumae.
Ni wazi hali ya ajira kwa sasa ni ngumu unaweza tuma barua 100 usijibiwe hata moja na ukijibiwa ni kukushukuru kwa kuomba na kukupotezea kulinda reputation yao ,kwa hili mwenzenu nina ushauri tofauti.
mimi naona kilimo ndo iwe focus yenu sisemi muwe wakulima mazima ila naamini graduate angepata mtaji wa warau 10 million anaweza kujipanga akatumi taaluma yake kujiajiri na after miaka 10 akawa milionea mwenye mchango mkuu kwa familia,ndoa,jamii na taifa kwa ujumla.
Mfano ukilima tangawizi gharama yake ni 1.5 kwa ekar at maxmum ila ata minimum mavuno ni tani 6000x1500=milion 9 tayari unaweza kulipia eneo mwaka ukaanzisha biashara ,au ukipanda miti ekari nzima kwa mbeya iringa
mchanganuo
Kununua ekari 5 200000
kulima na kupanda 100000
miti 2000@500 100000
uasafiri ,accomodatin fro DAR 200000
other 200000
Total capital 800000
Sales 2000@30000 60000000(mil 60) hii ni current price na ina appreciate ndani ya miaka minne tuu.
AIDHA MIMI NAEONGE NILIWAHI KUAJIRIWA BENKI NIKALIMA NDO KUVUNA NIKARESIGN TENA 24 HRS NA HATA PPF SIJAENDA KUCHUKUA MAFAO.
Tatizo letu tuna husisha utozi na usomi ,hakuna sheria kuwa eti msomi lazima avae tai huo ni upuuzi sisi ni nchi masikini tukumae.