Me naona umetoa mawazo yako tu bro, Acha ku-generalize mambo mkuu; Mbona wapo wawekezaji wazawa wengi tu na ni wezi balaa; kama sio mwizi huwezi fanya nao kazi; wachina nao wana madhaifu yao; We toa hoja yenye mashiko watu tuone hizo fact unazosema hawa jamaa ni wanyanyasaji na sio wawekezaje...
Mkuu mimi kuna vitu vichache sana nahitaji kutoka china, Sio vya kuuza bali ni vya kusupport shughuli zangu ninazozifanya; Vip unaweza ukanipa utaratibu kwa hilo?
Huwa naona items zinazohusiana na kazi yangu huko china ni bei chee kweli? japo used but kvikija hapa vitafaa tu kibongobongo
Me mwenyewe niliomba hizo, ila cha ajabu nimeshaitwa kwenye organization nyingine wao bado, Ngoja tusubiri tutapata majibu
Kimya kingi kina mshindo mkuu.
Mkuu unapokuja humu jaribu kuja na full details ili wakuu wengine waweze kukusaidia; Taarifa haijakamilika hapo, Hainyeshi kazi gani, Unaombaje? Vitu gani vinahitajika n.k
Tupia Tangazo hapa usaidiwe kwa usahihi na ubora kabisa.
We Nenda tuu; Ila hakikisha kila ulichokiweka kwenye CV yako unakifahamu vizuri; usiweke vitu ili kuonesha CV iko nondo kumbe ku-explore huwezi achana kabisa na mbwembwe zisizo na msingi.
Sema Mkuu umeitwa nafasi Gani, Mie niliitwa IT, Panel yao ilikuwa imesimama ( Wanaelewa mambo) Wanaangalia CV yako kwenye mambo ambayo umeshafanyia kazi, kama yana-match na ya kwao huwa wanataka ufafanuzi kwenye hilo eneo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.