Msaada: Nahitaji kujua kama NMB kitengo cha ICT waliita interview

paramawe

Senior Member
Apr 13, 2013
151
24
Kwa anayefahamu NMB kitengo cha ICT walitangaza nafasi za kazi deadline ilikuwa tarehe 4 mwezi huu, vp wameishaita interview juu kwa juu au tusubiri?
 
Kwa anayefahamu NMB kitengo cha ICT walitangaza nafasi za kazi deadline ilikuwa tarehe 4 mwezi huu, vp wameishaita interview juu kwa juu au tusubiri?
Me mwenyewe niliomba hizo, ila cha ajabu nimeshaitwa kwenye organization nyingine wao bado, Ngoja tusubiri tutapata majibu
Kimya kingi kina mshindo mkuu.
 
Back
Top Bottom