Walter Reed Progam, Tanzania

Walter Reed Progam, Tanzania

Mkuu sifa zote unamaanisha nini? Kitu nilicho-note pale kama unasifa zote na experience ya kutosha kwenye taasisi za afya basi unakua kwenye side nzuri, Yaani kama Uhasibu, IT, Administrative, etc.... Kama hizo zote unazo related to Health institution possibility ya kuitwa ni kubwa... Mimi nilienda huko nilichogundua ni hicho, Nilikutana na Rafiki za ngu niliosoma nao chuo wa4, hao wote wanaexperience ya fani yao in health institution, katika story story nikagundua kuwa kuna wengine wawili ambao ndo tumefahamiana pale pale nao walikua na background ya hiyo, Jumla tulikuwa 8. Sikufanikiwa kujua taarifa za hao wengine wawili
Kwa hiyo unaweza ukawa Guru wa masuala ya Administration but kutoka Taasisi za kifedha au za Ujenzi, lakini mwingine ana same certification kama wewe but yeye ana experience kutoka Health institution. Concern yao mtu wa health oriented experience ata-corp mazingira mapema, bcoz background itam-fever Hicho ndo ninachokiona hapo mkuu.

Mkuu nipe details kidogo how the interview inakuwa organised wameniita, nijiandaaje? Jopo lao likoje?
 
Mkuu nipe details kidogo how the interview inakuwa organised wameniita, nijiandaaje? Jopo lao likoje?
Sema Mkuu umeitwa nafasi Gani, Mie niliitwa IT, Panel yao ilikuwa imesimama ( Wanaelewa mambo) Wanaangalia CV yako kwenye mambo ambayo umeshafanyia kazi, kama yana-match na ya kwao huwa wanataka ufafanuzi kwenye hilo eneo
 
We Nenda tuu; Ila hakikisha kila ulichokiweka kwenye CV yako unakifahamu vizuri; usiweke vitu ili kuonesha CV iko nondo kumbe ku-explore huwezi achana kabisa na mbwembwe zisizo na msingi.
 
Back
Top Bottom