Dangote anafanya hata watu waache kufanya mambo ya msingi. Katika siasa na uchumi ni ngumu sana kujua ukweli uko wapi ila kama Dangote anataka kuondoka inamaana kuna mawili alidanganywa au alidanganya. Mosi alipoanza tu kabla hata hajakomaa alijinasibu kushusha bei kuzidi hata viwanda...
Cheti na Diploma bado zipo zimebadilishwa tu mtoaaji kutoka Wizarani kwenda Nacte ambayo ndo ina mamlaka ya kutoa diploma au vyeti vinavyoambatana na mafunzo kama veta na practical oriented labor force. Kwa hivi vilivyo NACTE ni vyo vingi tu nchini mfano CBE, IFM, TIA, VETA, n.k. Ila kulikuwa na...
Wednesday, 18 July 2012 15:43
digg
Meli ya abiria MV. Karama ikiwa na watu 400 toka Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama leo karibu na Kisiwa cha Chumbe, source mwananchi
barubaru nashaka na hiyo taaruma yako ya uchumi, kasome income inequality and the impact of uwekezaji unazosema then uje ufanye research ndani ya nchi hii na utuambie umepata nini. si kusema tu umeona mabarabara sijuii kwenda wapi mwanza kwani hayo yamejengwa na kikwete???
One person has been killed and several others wounded in a hand grenade attack on a bar in the Kenyan tourist hub of Mombasa, police say.
Sunday's attack comes a day after the US embassy in Kenya issued a warning on the threat of an imminent attack in Mombasa, and Kenyan police arrested two...
jamaa unaonyesha ulivyolewa uccm, kwani hata wanayosema hauyaoni. kajifunze kiongozi shupavu anakuwa na sifa zipi then ndo uje kusema oooh rais katukwanwa. usipomwambia mtu ukweli na ukarudi kusema pambeni ni sawa na kuwa mshenzi. mnyika did his part so ccm muonyeshe sasa wapi mnyika hakusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.