Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhh sijui niulize kazi yake kabla ya Ubunge maana niliyoambiwa miye sijayaaminiWewe hivi unaifahamu HISTORIA ya LEMA kabla ya kuwa mbunge????
Sasa unatafuta nini huko CHADEMA???maana huyu ndiye MGOMBEA wa chama milele na kila mtu analifahamu hili..inasemekana kaweka BONDI ndani ya CHADEMA ya kuwa MGOMBEA uraisi mpaka atakapoomba POO yeye mwenyewe
Kuna "FUSE" haiko sawa hapo kichwani kwako.Me tokea mwanzo ckuona umuhimu wa lowassa chadema,,,,,nilipga kura tuu ilimrad nicsaliti chama changu
kwani sio mnafiki...huyo nae double tongued hana maana yoyotezto mlimuita mnafki
bora ya zto kuliko mbowekwani sio mnafiki...huyo nae double tongued hana maana yoyote
wote hovyo tu...wanafanana