Ndugu wanajamii katika hotuba yake ya Mwisho wa mwezi akiongelea juu ya mgogoro wa udini na zaidi akielezea juu ya mgogoro wa uchichaji mh. rais ahoji mbona kuna mabucha ya nguruwe watu hawapigani.?
nchi zipi izo ndugu, acheni udini mbona mambo hayo yanaweza kufanyika katika dini zenu kama shida ni kufahamu mpo wangapi? mbona hamna mifumo ya kueleweka ninyi bana msiwe kama watoto leo analilia pipi hajapata anataka mandazi
mbona ccm mlimchagua mganga wa kienyeji huko tanga, eti prof. maji marefu. inaonyesha jinsi gani ushirikina ulivyojuu ndani ya chama chenu.
poleni sana
namshukuru Mungu nilikuwepo kwenye maandamano lkn tbc ndio hajaonesha nguvu zetu hata kidogo, na vijana wenzangu tujitoe katika harakati za ukombozi katika utawala huu dhalimu
kimsingi wanao ua wanchi ni serikali na si madaktari, kitendo cha kuwaacha madaktari waendelee na mgomo na kushindwa kutatua matatizo yao kwa njia ya majadilliano ni dharau kwa wananchi tuliowapa dhamana ya nchi yetu.
hawana adabu hata kidogo, tatizo hawafaham the role of political rulers in the society, kasi ya mgomo ya madaktari ni ya kujiuzuru na nilitegemea leo ndio ingekuwa hoja ya kwanza mezani, lakini wanaleta katuni kweli issue zinazo umiza watanzania wenzetu, na tulivyo wajinga watz tumekaa kimya as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.