LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Nimefika home nikakuta live mahojiano!
Twendeni pamoja ndg zanguni.
Nawasilisha!
Twendeni pamoja ndg zanguni.
Nawasilisha!
Mkuu kuna watu tuko mbali na aksesi za TV tunatumia mchina na tuko kazini night shift,tumwagie data hapahapa jamvini.
Liverpool kaka japo me Arsenal kesho tuungane tumwangushe mkoloni.
Singoji tamko wala katazo