siyo kama unavyofikiriani simple sana kuanzisha mogomo na maandamano nchi nzima
maisha siyo magumu kwa wengi kama huna kazi kalimeWatunzania mnangoja nini hadi madaktari wanagoma kazi.
GrEaTthinkers,
Think kiasi gani tumepoteza kama taifa,
Kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
Nasema hawa si wa kuchekea wanaiumiza Nchi,
- TICTS
- RADAR
- NDEGE YA RAIS
- SAFARI ZA NJE YA NCHI-UTADHANI YEYE NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE
- TWIN TOWERS BOT
- MIKATABA ISIYO NA TIJA KWA NCHI(Madini)
- KAGODA(EPA)
- MEREMETA
- RICHMOND/DOWANS
- WAKUU WA MIKOA na WILAYA(Hao ni Watumishi wa CCM)
- IPTL
- KIWIRA COAL MINES
- NETGROUP SOLUTIONS
- MISAMAHA YA KODI(Nchi inakosa mapato)
- ALEX STEWART
- BEI YA BIDHAA ie. UMEME (watanzania ndiyo wanaofidia misamaha ya kodi)
- RITES
- ALLIANCE AIR
- KUJENGA BARABARA KUPITIA MBUGA YA SERENGETI(Matumizi mabaya ya kodi zetu)
- LOLIONDO
- BARABARA YA KILWA NA MANDELA KAZI KURUDIWA(Matumizi mabaya ya kodi zetu
Kwa Asili ni sisi ni matajiri, tunafilisiwa na wapuuuzi
Haiwezekani madudu yote hayo, hakuna hata mwenye hatia ukitoa Liyumba.
Ukinunua soda ya 500Tsh umetoa 90Tsh. kama kodi.
Amkeni, Toeni sauti, Nchi inakwisha.:target:
greatthinkers,
think kiasi gani tumepoteza kama taifa,
kwa nini jasho letu linatumika vibaya hivi!
nasema hawa si wa kuchekea wanaiumiza nchi,
- ticts
- radar
- ndege ya rais
- safari za nje ya nchi-utadhani yeye ni waziri wa mambo ya nje
- twin towers bot
- mikataba isiyo na tija kwa nchi(madini)
- kagoda(epa)
- meremeta
- richmond/dowans
- wakuu wa mikoa na wilaya(hao ni watumishi wa ccm)
- iptl
- kiwira coal mines
- netgroup solutions
- misamaha ya kodi(nchi inakosa mapato)
- alex stewart
- bei ya bidhaa ie. Umeme (watanzania ndiyo wanaofidia misamaha ya kodi)
- rites
- alliance air
- kujenga barabara kupitia mbuga ya serengeti(matumizi mabaya ya kodi zetu)
- loliondo
- barabara ya kilwa na mandela kazi kurudiwa(matumizi mabaya ya kodi zetu
kwa asili ni sisi ni matajiri, tunafilisiwa na wapuuuzi
haiwezekani madudu yote hayo, hakuna hata mwenye hatia ukitoa liyumba.
Ukinunua soda ya 500tsh umetoa 90tsh. Kama kodi.
Amkeni, toeni sauti, nchi inakwisha.:target:
wewe si tayari umechoka lianzishe!!!Tatizo ni nani atakayeanzisha ndugu yangu ila kimsimsingi binafsi nimechoka na madudu ya nchi hii.
vipeperushi na kueli,ishana ndo njia.
Sio watanzania wote wanaweza kupata hizi habari kwenye magazeti au jf.
Tuandae vipeperushi na tugawe bure kwa watanzania.
Inabidi tukumbushane
sawa tutafuata sheria lakini mpaka hicho kibali cha kuandamana kitoke i will be dead .,,,,,,,,,,,,,,,,,,system haiko sawa ndio maana ina takiwa katiba mpya watu watoe dukuku zao kwa haki na usalama
Na wengine1. Shomari, nani kakudanganya huo msemo kwenye nyekundu ni wa Kikwete??
2. Swali lako....."nani aanzishe" = very simple, tuanze kujiorodhesha hapa hapa:
- M-mbabe
- Spencer
- Iwanga
- Ezan
- Stein
- Byendangwero
- King of Kings
- Bruce Lee
- Wewe mwenyewe (Shomari)
-Darick
-Mbaneingoma
-Crashwise
-FF
- El Nino (huyu tutambeba juu juu kibabe maana anataka kuleta logic nyingi)