Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Kitu kimoja ambacho serikali hakikupigia mahesabu ni kuwa watu will turn against the government; wao walidhani watu waturn against the doctors "kwa kukosa uzalendo".. nilisema mwanzoni serikali "will lose" and in this case it is already losing!