chadema= JF= ukristo na ndio maana hamuachi kutukana na kubeza lolote linalofanywa na waislam, mmezidi chuki zenu kwa taarifa tu hii nchi sio yenu pekee yenu ni yetu sote na kila mtu ana haki ya kuongea,
mnashindwa kabisa kuficha yaliyomo katika nafsi zenu chuki, chuki chuki, tukisema chadema udini mnakataa! wakati majibu kama haya tunayaona hapa JF ni chadema chadema chadema hata chadema wakiropoka mnaona ni point tu na hili ndio litakalowaangusha mnawashtua hata waliolala, Tafakarini! na kujidai kwenu waasomi wajuzi nk mnashindwa kuficha ubinafsi na chuki mlizonano! MSIJISAHAU mkahisi uhuru niwenu peke yenu