Bro kwanza pole sana hizo ndizo changamoto za Utumishi. Nenda Open University ukasome kwani wale sio spoon feeding km vyuo vp vingine na utakuwa competent kuliko wao. Mpaka sasa historia iliyowekwa na mwanafunzi toka Open University ktk chuo cha uwakili(Law School)haijavunjwa.
Mm nimesoma hapo...
Hbrn za weekend wapendwa,
Nahitaji mkopo wa 1,500,000/- kwa marejesho ya mwaka mmoja tu.
Nia na madhumuni ya mkopo huo ni kwamba nina jirani yangu ana kiwanja anauza huko Kibaha kwa Mathias, anauza kwa matatizo. Hivyo basi nilihitaji kuongeza eneo langu kwani dogo.
Aliye tayari tuwasiliane...
Sio starTimes pekee, hii ni mpaka Azamtv. Package ikiisha unabaki na TBC tu nayo ni kwa muda baada ya mwezi nayo na shiiiiiiiiiiiiida kuipata. Hii ni kero kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.