salazar
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 681
- 390
Dalili za kuelezwa matatizoWa aje tena mkuu?
Jaribu kufafanua walai kidogo
Dalili za kuelezwa matatizoWa aje tena mkuu?
Jaribu kufafanua walai kidogo
Mkuu naogopa BAN maana unyambulisho mzuri ambao utanielewa vizuri humu hauruusiwiMkuu hebu jaribu kuninyambulishia hasa kama wewe wanawake huwa mnamaanusha nini ?
Kweli hii kauri imenitesa muda mrefu ndo maana nikaianika hapa jamvini
kuombwa hela mkuuMaana yake anakaribia kuchepuka au?
Ni kweli ina maana umemuacha alivyo na nguvu zake. Ukimgegeda vyema hata pumzi ya kukupa pole huwa hanayohahaaa....mkuu kama unapewaga pole ujue your work done is equal to ZERO
Fasta ili akawah kichwa kingine, hahahahaaaa hatari sana mkuuTatizo mkuu sio wale wa pesa wa pesa nimeshajaribu hawanaga hizo tena swali yao hi hili
"Hujamalizatu"
Wale hawanaga pole kabisa mkuu maana wanapenda kibao kimoja tu kile cha kwanza hawataki cha poli maana wanasema huwa tunakawia kupiga bao
Tatizo huwa hakuna tatizo lolote ninaloelezwaDalili za kuelezwa matatizo
Mkuu nilishawahi mmoja wao kumgegeda mashine ya pili ikagona na huku anamzukaPole kwa sababu alivyokudhania sivyo ulivyo ie is umeshindwa kazi.