IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo

IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo

Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
Chuo gani?
 
Wanafunzi wa siku hizi mnapenda sana anasa na kuwa bize kuchagua nguo nadhifu ili mfanane na Diamond Platinumz! Mnawaza zaidi ngono na starehe na hamtaki kusoma!

Mr Deriye hataki kumpa mtu ushindi wa mezani! Safi sana Mr Doriye, ticha kichaa!
 
Wanafunzi wa siku hizi mnapenda sana anasa na kuwa bize kuchagua nguo nadhifu ili mfanane na Diamond Platinumz! Mnawaza zaidi ngono na starehe na hamtaki kusoma!

Mr Deriye hataki kumpa mtu ushindi wa mezani! Safi sana Mr Doriye, [R]ticha kichaa![/R]
Na kweli ni ticha kichaa haswa.
 
Kijana unataka course work upate above 40 wewe unatunga mtihani na mwalimu? Kabla hujaja hapa dean of students ushawahi mpelekea malalamiko yako..dogo piga mzuri wenzako wakati tunasoma lecturer anathubutu kukwambia wewe ukimaliza kaoge maji ya bahari ila wabishi tulikaza hatimae tukavuka..
 
Kila chuo hiyo skendo haikosekani Mkuu. Mi nilifanyiwa kwenye pepa la uchumi mwaka wa tatu ila nilikomaa na sikushikwa. Tatizo hapo huenda kuna bifu na bila kulimaliza hilo bifu mtajuta. Nendeni kwa Mzee wa majipu si mpo karibu hapo?
 
Ndo yule.mjinga anajiita Dr doriye huyu namtukana mpumbavu kabisa aliniambia hivi kipindi nimekosa ada " umasikini wa familia yenu hauniusu Mimi"

Yaan sentence sitaisahau
 
Kuna mmoja wa M.A management accounting ya mwaka wa 3 kipindi cha mwaka 2010-2011-2012 zaidi ya nusu darasa wote mnapata supp kilazima tu, sijui kama bado yupo mpk sasa

Supp za bisiness law, mathematics mpaka aibu. Big up kwa wanaosoma IFM changamoto zake tu ni ukubwa tosha, ni chuo kizuri sana ktk moja ya vyuo vilivyopo Tz coz Management ipo serious

Komaeni tu ndugu ndo maisha ya chuo yalivyo
 
kweli wewe dikteta umeshindwa kumrioopoti kwa uongozi,jipangeni siku mumgomee mpuuuuuuuvumba huyo.
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu saana umeonyesha wewe uliyeleta hii mada hapa, unaonekana kabisa elimu uliyoipata haijakusaidia hata kidogo. Swala la coursework kutokupatikana kwa muda sio ishu ya public hili ni swala ambalo mungeliweza kulimaliza hukohuko, hasa unapolileta huku kwenye mitandao unataka kutafuta sifa tu zisizo na maana kwa kuharibu tu sifa ya mtu na chuo. Inawezekana kosa lipo ila haya ni ya kumaliza ndani kwenye uongozi wa chuo chenu.

Lakini swala hapa sio coursework kuwa chini ya 40%, nadhani hiyo sio hoja, hizo ndo mark mlizopata, so hata zingeliwekwa mapema bado zingelikuwa ndo chini ya 40%. Kama mwalimu kaweka kile mlichopata isichukuliwe kuwa ni msumbufu, mbona zikichelewa zikaja zimeongezwa hamsemi.

Nadhani ni busara kujua wapi mahalisahihi pa kuwakilisha tatizo lako na ni tatizo gani unalowakilisha. Kuja kwenye mitandao kisa ipo ni kukosa busara tu.

Upo sahihi sana mkuu Big up...Wanafunzi hawa waliotanuliwa goli wakafunga...wanashida sana...HAWAJUI HATA SEHEMU SAHIHI YA KUWASILISHA SHIDA ZAO.
 
Kuna mmoja wa M.A management accounting ya mwaka wa 3 kipindi cha mwaka 2010-2011-2012 zaidi ya nusu darasa wote mnapata supp kilazima tu, sijui kama bado yupo mpk sasa

Supp za bisiness law, mathematics mpaka aibu. Big up kwa wanaosoma IFM changamoto zake tu ni ukubwa tosha, ni chuo kizuri sana ktk moja ya vyuo vilivyopo Tz coz Management ipo serious

Komaeni tu ndugu ndo maisha ya chuo yalivyo

Hivi mnavyosema anawafelisha kilazima MNAMAANISHA NN?....
Huwa anakata majibu sahihi kwenye Test /UE?...vyuo vina utaratibu wa kukata rufaa...Kwann msikate rufaa...?.....
 
Kiukweli,kwa ambao wamefundisha vyuo vikuu wanajua ni namna gani walimu wanavohangaikaga kuwatoa ila wengine hawasaidika, yaani inakuwaga taabu tupu kusubmit matokeo ya UE, ila ukiangalia vijana walivofanya unaamua kuacha marks kama zilivo mwishowe kunakuwa na mass failure
 
Nilidhani una hoja kumbe PUMBA!!! Mwl afelishe darasa zima ili iweje? Tena ninyi wa awamu ya JK hata chuo kikiwaondoa wote sioni shida akili hamna vichwani, Library hamuenda ila kufaulu mnataka.
Ww unadhani tafti ya 61% Vil,aza imekujaje Tz kama siyo akina ww?
Kutongoza mademu, kupiga selfie na kuchat ndio Syllabus alizo wapa Shukuru Kawambwa!!
Hahahaha...! kama vipi apge hata CR yaishe
 
Back
Top Bottom