Acheni kupotosha watu ...sjui kwann watz tumekuwa wajinga kias hiki unafaidika nni kupotosha umma
Magufuli alisema bomba hili litakuwa Tanzania kwa aslimia 70 na 30 Uganda kwa maana ya eneo la kupita bomba hili linakuwa eneo la Tanzania kwa asilimia 70 na 30 Uganda ndio alichosema Kama...
Wakat anatoa izo mimba hakuwa kwenye maisha yako huwez jua sababu ilikuwa nni
Wakat unamuoa ulikuta sio bikra Io inamaan aliwahi kuwa kwenye mahusiano na kwenye mahusiano lolote laweza kutokea ikiwepo mimba isiotarajiwa
Cha msingi anakupenda unampenda na tukio Hilo la kutoa mimba...
Watz tunapenda kujikweza sanaaaa Kama ujui Hilo broo yan ukimuuliza uyo mtu kwann umevaa hii kitu na sio ya tz atakwambia kali kuliko ya tz wakat sio kweli
Wakenya mnadharau saaana ....kujiona mnajua kuliko wote hasa kujisifu na issue ambazo amstahili nazo kupata sifa ..
Mfano ssi tz tuko wawaz kuwa mmetuzidi uchumi
ila nyinyi kutoa credit kwa vtu mlivozidiwa na sis Ni ngumu sana
Ni waz Kenya mmetuzidi uchumi na vichekesho bhas pengne kote...
Achana na size yako chukua wa chini yako hapo ndio wewe utakuwa yule kaka wa chuo uliemchukulia demu dgo wa form 2 c
Cha msingi wanaume tuangalie furaha yetu sio za wanawake wetu tunakosea sana sisi tunapoangalia wanawake wanapenda nni .iv viumbe Ni avijui vinapenda nni
Waungwana msaada tafadhali kwa wale wanaosoma au waliosomea UDSM.
Kuna degree program inaitwa Project Planning and Management naipenda sana lakini napenda sana Chuo Kikuu Dar es salaam nauliza hii degree program inatolewa UDSM?
Anayefahamu au aliyesomea hii degree program msaada tutani.
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.