KUMEKUCHA: Tanzania Kupokea 5% Ya Project Bomba La Mafuta Kutoka Uganda, Kinyume Na Magufuli Alivyowaaminisha Raia Wake

Umeandika uzi mkubwa na kuupangilia vizuri ila hamna unachoelewa kuhusiana na huu mradi, wewe ni mfano wa mtu anayejaza answer sheet na ana muandiko mzuri ila matokeo yakija ni ZERO. Kasome tena mkataba
 
Mkuu 5% unayosema ni umiliki wa hiyo project. Lakini ushuru wa kupitisha mafuta ndio ambao Tanzania itapata 60%

Hapa faida kubwa ambayo Tanzania itanufaika nayo ni ushuru na Wala sio umiliki. Pia ajira nyingi watazipata watanzania kuanzia bandarini pale tanga na center zote zitakazojengwa kwenye bomba la mafuta
Weka tuone huo mkataba. Japo vipengele vinavyojadiliwa hapa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tuwe realistic kidogo. Ada ya kupitisha mafuta si ndogo. Ardhi mtafidiwa na bado mtapata ada ya kupitisha mafuta. Tatizo letu waswahili ni kutaka kikubwa bila kuangalia kuwa itakuwaje hata ukikosa hicho kidogo. Nadhani Kenya walikuwa wako tayari kutoa concession chini ya hapo. Kuna faida nyingine kama vile peaceful coexistence baina ya mataifa yanayoingia kwenye biashara kama hii na mengine mengi.
Na hilo la urongo unalizungumziaje ndugu msemaji?
 
Mkuu 5% unayosema ni umiliki wa hiyo project. Lakini ushuru wa kupitisha mafuta ndio ambao Tanzania itapata 60%

Hapa faida kubwa ambayo Tanzania itanufaika nayo ni ushuru na Wala sio umiliki. Pia ajira nyingi watazipata watanzania kuanzia bandarini pale tanga na center zote zitakazojengwa kwenye bomba la mafuta
Wape elimu kidogo hawa mbugila mbugila. Ownership na faida (benefits) ni vitu tofauti. Unaweza kuwa unamiliki zaidi ila ukazidiwa faida ya project yenyewe na partner mwingine kulingana na position yake
 
Imani yangu, wewe ndio sio mfatiliaji wa mambo kwa undani, na ndio mliokua mkiaminishwa hata ATCL kufanya kazi kwa faida na kuipa serikali gawio.

Hoja ni fupi; KWANINI RAIA TULIDANGANYWA? Tungeambiwa ukweli kuwa tunapata 5% au 1% wala tusingekataa, tungekubali. Ila Magufuli Kila kitu kwake kilikua kinaendeshwa kwa mwendo wa uongo uongo uongo na propaganda tu.
Kwani umeanza kudanganywa LEO . tatiza la kuzaliwa 2000

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alikuwa ni populist aliejificha kwenye chaka la siasa za propaganda ili aonekane kuwa ni mchapa kazi kumbe ni fisadi mkubwa,mwizi wa kutupwa,mzembe wa kulinda rasilimali za uma na muwongo asiye na haya.
 
Sasa kwan lock down ya kwanza haukuona wakat wanasema hamna corona haikuwepo kama ilivyo sasa hamna case za corona kabisa? Shida unachallenge kila kitu, Magu alisema katika version ya pili ya corona hatofungia mtu chukueni tajadhar na Muombeni Mungu ( hao waliofungiwa wakufa kila siku ) Muachen mzee wa watu
 
Tuwe realistic kidogo. Ada ya kupitisha mafuta si ndogo. Ardhi mtafidiwa na bado mtapata ada ya kupitisha mafuta. Tatizo letu waswahili ni kutaka kikubwa bila kuangalia kuwa itakuwaje hata ukikosa hicho kidogo. Nadhani Kenya walikuwa wako tayari kutoa concession chini ya hapo. Kuna faida nyingine kama vile peaceful coexistence baina ya mataifa yanayoingia kwenye biashara kama hii na mengine mengi.
Father of None, kwani ni kweli uko hivyo unavyoandika? Au ni kujichetua tu? Unadhani Kenya wangetoa/walitoa concession chini ya hapo? Mradi ilikuwa upitie Kenya. Kama ni kutoa quotations walianza wao. Kenya ardhi ni kaa la moto wa mkaa wa mawe. Ardhi ni ya watu/majitu binafsi yenye kujua thamani ya ardhi. Hilo tu Total wangechemsha kama hawakutokosa!

Ukiweka hayo pembeni, ambayo hata na wewe unadhani huna uhakika; suala hapa ni uongo juu ya kile tutapata kama taifa. Uongo wa nini?
 
Hata hiyo 5% ni dili ikizingatiwa kuwa mafuta si ya Tanzania bali Uganda. Ridhikeni na mnachopata. Cha muhimu ni kwamba kuna pato hapa hata kama siyo hiyo 70% ambayo nadhani Magufuli alimaanisha kwenye ujenzi ambapo sehemu kubwa iko Tanzania. Soma zaidi utagundua kuwa umekurupuka.

hawa watu ni kama kuku.

ni wa kuwahurumia tu.
 
Kafa na harudi tenaaaaaaaaaa alikuwa mwizi. Utaingiaje kwenye akaunti za watu na kupora fedha zao jasho zao. Mungu alimkatisha maisha yake maksudi

amekufa halafu wewe bado ni masikini tu unatafuta namna ya kumlaumu mpaka kesho.

kaza kalio kijana maisha sio rahisi namna hiyo.
 
Imani yangu, wewe ndio sio mfatiliaji wa mambo kwa undani, na ndio mliokua mkiaminishwa hata ATCL kufanya kazi kwa faida na kuipa serikali gawio.

Hoja ni fupi; KWANINI RAIA TULIDANGANYWA? Tungeambiwa ukweli kuwa tunapata 5% au 1% wala tusingekataa, tungekubali. Ila Magufuli Kila kitu kwake kilikua kinaendeshwa kwa mwendo wa uongo uongo uongo na propaganda tu.
Mwendazake alikuwa taahira, alikuwaga anapenda sifa sana!
 
Acheni kupotosha watu ...sjui kwann watz tumekuwa wajinga kias hiki unafaidika nni kupotosha umma

Magufuli alisema bomba hili litakuwa Tanzania kwa aslimia 70 na 30 Uganda kwa maana ya eneo la kupita bomba hili linakuwa eneo la Tanzania kwa asilimia 70 na 30 Uganda ndio alichosema Kama ukuelewa ndio alichoomaanisha na akasisitiza kwenye ujenz wa bomba hili wakat linajengwa tz wahusika wawe wazawa ili kunufaika na ujenz wa bomba

Hivi wew kwa akili zako tuu uwez kufikiria umiliki thaman kwa asilimia kubwa kuliko muhusika inaingia akilin kweli acheni kupotosha umma
 
Hata hiyo 5% ni dili ikizingatiwa kuwa mafuta si ya Tanzania bali Uganda. Ridhikeni na mnachopata. Cha muhimu ni kwamba kuna pato hapa hata kama siyo hiyo 70% ambayo nadhani Magufuli alimaanisha kwenye ujenzi ambapo sehemu kubwa iko Tanzania. Soma zaidi utagundua kuwa umekurupuka.
Ndicho alichomaanisha asilimia 70 ya bomba iko Tanzania hivyo pato kubwa litakuwa upande Wa Tanzania kuanzia ajira na tenda mbalimbali na fidia nk
 
Back
Top Bottom