Habari ndugu zangu.
Kwa machozi mengi naandika juu ya jambo hili. Mimi Ni mmoja kati ya wahitimu katika kozi ya "DIPLOMA IN TECHNICAL EDUCATION" 2019 katika chuo Cha Ualimu Kleruu.
Nia yangu ilikuwa Ni kuendelea katika ngazi ya juu Zaidi ya Elimu, lakini , nimepambana kwa nguvu zote nikaomba mkopo nikakamilisha kila kitu, suala la AVN NUMBER likafuatia, hakika AVN Ni kirusi kwangu, kila kitu kiligonga mwamba, baada ya kufuatilia kwa kina, shida ilionekana NECTA wamenidhurumu haki yangu maana nimefanya mtihani wa NECTA, lakini NECTA wamekumbatia haki zetu (hawataki kupeleka taarifa zetu NACTE), Tafadhali kama kuna waliokaribu na NECTA uzi huu uwafikie, wafanye kazi kwa weledi.
Kama hawawezi basi watujulishe ili tukasome kozi zingine, kinachonishangaza ni kwamba chuo Ni Cha Serikali lakini uzembe mtupu nimeumia sana kupoteza gharama zangu bure kwa uzembe wa watu fulani
Kwa machozi mengi naandika juu ya jambo hili. Mimi Ni mmoja kati ya wahitimu katika kozi ya "DIPLOMA IN TECHNICAL EDUCATION" 2019 katika chuo Cha Ualimu Kleruu.
Nia yangu ilikuwa Ni kuendelea katika ngazi ya juu Zaidi ya Elimu, lakini , nimepambana kwa nguvu zote nikaomba mkopo nikakamilisha kila kitu, suala la AVN NUMBER likafuatia, hakika AVN Ni kirusi kwangu, kila kitu kiligonga mwamba, baada ya kufuatilia kwa kina, shida ilionekana NECTA wamenidhurumu haki yangu maana nimefanya mtihani wa NECTA, lakini NECTA wamekumbatia haki zetu (hawataki kupeleka taarifa zetu NACTE), Tafadhali kama kuna waliokaribu na NECTA uzi huu uwafikie, wafanye kazi kwa weledi.
Kama hawawezi basi watujulishe ili tukasome kozi zingine, kinachonishangaza ni kwamba chuo Ni Cha Serikali lakini uzembe mtupu nimeumia sana kupoteza gharama zangu bure kwa uzembe wa watu fulani