Maumivu ya kugundua mkeo aliwahi kutoa Mimba

Mm nawazoom tu na kuwacheka huku nikinywa Azam cola yangu baridi
 
Pole sana. Hapo zamaniKuna binti mmoja nilikuwa na mpango wa kumuoa sasa katika namna ya kumsaidia apate kazi fulani likaja suala la mimba kama ni mjamzito au amewahi toa, jibu likawa amewahi toa. Kilichofuata alikosa kazi na mme pia maana sikuwa tayari kuendelea nae.
Tusiwachunguze sana hawa rafiki zetu tutakuja kufa kwa presha maana huku ninakokutana nao mitaani naona wengi tu wanafyatua. Vyuoni nako hali si shwari.
Vumilia tu mkuu japo hiki kitu kimeshakuwa sehemu ya maisha yako tayari kwani utakiwaza kila siku unapomfikiria au mla mkeo.
Sasa kutoa kwake mimba kunahusiana vipi na kazi?
 
Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.


Naombeni msaada

N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
'Alishakiri na kuomba msamaha na wewe ukamsamehe,halafu unashindwa kutoa hayo maumivu moyoni',kifupi ni kuwa bado hujamsamehe...
 
Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.


Naombeni msaada

N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
Alitoa mimba sio yako???


Mmeshazaa ????
 
Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.


Naombeni msaada

N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
Ulimuuliza mambo ya past ya nini, ukimchunguza sana bata hutamtamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.


Naombeni msaada

N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.

Kwa kweli umejitakia na pia unakosea sana kumuhukumu mkeo kwa mambo ya kale, ulidadisi ya nini, mkeo ni huyo uliokuw nae sahivi na sio yule wa zama za kale, jitambua kijana, wewe usijihesabie haki huenda una madhaifu yako lakini hayajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia binafsi mwanamke mtoa mimba namuona ni mkatili, wanasema mwanamke akitoa mimbo basi anakua na roho ya kuua inamvaa na huoni chochote akifanya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief
Siku ulipomuoa,ni siku unatakiwa ufungue daftari jipya.
Daftari la nyuma,halina mahusiano na ww muda wa kuwa umempenda na ukakubali kumuoa bila ya kulazimishwa

Mm nasema
Ulilolitafuta....umelipata
Pambana mwenyewe,usituvuruge ilihali tupo kwenye Msiba wa Kitaifa
Umeenda buchani ukanunua nyama ni ya ngo'mbe sasa baada ya kula unaanza kufuatilia alichinjwaje huko ni kupoteza muda. We umegundua kuwa alitoa mimba ili kutozaa kabla ya ndoa vipi km ungegundua alifumuliwa marinda ili asipate mimba kabla ya ndoa km wale wa mji fulani nalo lingekuuma?. Let the past be the past, achana na makaburi.
 
Wakat anatoa izo mimba hakuwa kwenye maisha yako huwez jua sababu ilikuwa nni

Wakat unamuoa ulikuta sio bikra Io inamaan aliwahi kuwa kwenye mahusiano na kwenye mahusiano lolote laweza kutokea ikiwepo mimba isiotarajiwa


Cha msingi anakupenda unampenda na tukio Hilo la kutoa mimba halijaathiri kupatika kwa mimba nyingne
 
Kimsingi ukijua katoa mimba kabla hujamuoa Usioe ila ukija baada ya kumuoa kubali kulibeba....

Siku hizi inataka kufanywa kama ni kitu cha kawaida ila sio kitu cha kawaida kabisa

Hili ni waambie wanawake kutoa mimba sio tukio la kibinadamu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom