Flashfifty
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 226
- 563
Ukimchunguza bata hutomla mambo mengine sio lazima kujua watu tusipende kudeal sana na past za wenza wetu...mmekutana mmeanza maisha yenu forget about the past..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, hii dunia acha tu mkuu kuna kazi hii dunia mtu anapimwa hadi mkojo, akili mbali na hizo mimbaKazi gani hiyo inahitaji hadi historia ya mimba!
Sasa kutoa kwake mimba kunahusiana vipi na kazi?Pole sana. Hapo zamaniKuna binti mmoja nilikuwa na mpango wa kumuoa sasa katika namna ya kumsaidia apate kazi fulani likaja suala la mimba kama ni mjamzito au amewahi toa, jibu likawa amewahi toa. Kilichofuata alikosa kazi na mme pia maana sikuwa tayari kuendelea nae.
Tusiwachunguze sana hawa rafiki zetu tutakuja kufa kwa presha maana huku ninakokutana nao mitaani naona wengi tu wanafyatua. Vyuoni nako hali si shwari.
Vumilia tu mkuu japo hiki kitu kimeshakuwa sehemu ya maisha yako tayari kwani utakiwaza kila siku unapomfikiria au mla mkeo.
'Alishakiri na kuomba msamaha na wewe ukamsamehe,halafu unashindwa kutoa hayo maumivu moyoni',kifupi ni kuwa bado hujamsamehe...Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.
Naombeni msaada
N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
Alitoa mimba sio yako???Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.
Naombeni msaada
N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
'Alishakiri na kuomba msamaha na wewe ukamsamehe,halafu unashindwa kutoa hayo maumivu moyoni',kifupi ni kuwa bado hujamsamehe...
Mwana kuligeti
Ulimuuliza mambo ya past ya nini, ukimchunguza sana bata hutamtamaniMliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.
Naombeni msaada
N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
Mliowahi kuoa wanawake halafu mkaja kugundua uko mbeleni kwamba ujanani mwake alishatoa mimba kadhaa, mna deal vipi ya hiyo depression? Mimi inanitesa sana, alishakiri na kuomba msamaha na mimi nikamsamehe lakini nimeshindwa kutoa haya maumivu moyoni kwangu kabisa.
Naombeni msaada
N. B Mke wangu bado nampenda sana, ila namuona ni mnyama.
Umeenda buchani ukanunua nyama ni ya ngo'mbe sasa baada ya kula unaanza kufuatilia alichinjwaje huko ni kupoteza muda. We umegundua kuwa alitoa mimba ili kutozaa kabla ya ndoa vipi km ungegundua alifumuliwa marinda ili asipate mimba kabla ya ndoa km wale wa mji fulani nalo lingekuuma?. Let the past be the past, achana na makaburi.Chief
Siku ulipomuoa,ni siku unatakiwa ufungue daftari jipya.
Daftari la nyuma,halina mahusiano na ww muda wa kuwa umempenda na ukakubali kumuoa bila ya kulazimishwa
Mm nasema
Ulilolitafuta....umelipata
Pambana mwenyewe,usituvuruge ilihali tupo kwenye Msiba wa Kitaifa