Recent content by Justine kimbunga

  1. J

    Tanzia: Shekh Nassor Bachu amefariki!

    bwna ametoa na bw ametwa roho ya marehemu ilazwe mahali pema peponi.amina
  2. J

    Wahisani wamegoma kutoa misaada

    Tanzania ni nchi iliyojitosheleza ni aibu kuona nchi hi inategemea wahisani.ebu tujitahidi kutumia lasilimali zetu kama ardhi,gesi,mafuta na misitu ktk kuendesha nchi yetu tukianza na mradi nafuu hadi ghari taratibu kwani hata MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA
  3. J

    Job Ndugai na Tundu Lissu uso kwa uso kwenye 'Kpima joto' ITV

    bw.ndungai anasadikiwa kuwa na matatizo ya akili kutokana na majibu yake mabovu yasiyo na ushawishi wa kifikra.
  4. J

    Wanaoishi Masaki Vs Manzese, Mbagala n.k

    baba nani ucxhau kuja na utumbo wa kuku
  5. J

    Mlinzi kipofu

    kwli bure aghr mchz katolewa silld xaxa
  6. J

    Mtoto wa mfalme

    Mchz nux
  7. J

    Zawadi kwa mama

    nothing more than respecting her
  8. J

    Waziri Wassira agonga mwamba sakata la uchinjaji nyama Mwanza!

    hapo ndipo tutakapoona hasara za kuwa na mawaziri ambao akili zao zimeexpire. BABA WA TAIFA MWENYEWE ALISHAXEMA UDINI NA UKABILA NI WAPINZANI WA AMANI NA MAENDELEO KTK NCHI.Kwa nn yeye anaendelea kuukumbatia udini na kuendlea kugawanya nchi ktk vpnde vya dini ivyo
  9. J

    Kikwete Sikiliza.... mawazo, mashauri, maoni, na manung'uniko kwa utawala wa CCM

    nn wasiwasi kuwa we2 n 1 kati ya watu wanaofaidi vipande vikubwa vya nchi hi kuliko haki yao na kuwanyima kabisa wananchi wengine hasa waliopo vijijini
  10. J

    Kikwete Sikiliza.... mawazo, mashauri, maoni, na manung'uniko kwa utawala wa CCM

    You are right na kama yeye ameshindwa kujirekebisha bas wananchi tuanze kumrekebisha ktk katiba na badae wenzake ktk uchaguy wa 2015
  11. J

    Nukuu ya Mwana-Mtwara

    hao jama wanachosha ndugu.picha wanayoleta hapo n kwamba wameshndwa kazi waliyopewa.kwa iyo wananchi kazi kwenu 2015.tshirt,kofia,kanga,chumvi na elfu tatu za mwaka 2010 vimeisha ila maisha bado magumu tufumbuke wtz
Back
Top Bottom