Tanzania ni nchi iliyojitosheleza ni aibu kuona nchi hi inategemea wahisani.ebu tujitahidi kutumia lasilimali zetu kama ardhi,gesi,mafuta na misitu ktk kuendesha nchi yetu tukianza na mradi nafuu hadi ghari taratibu kwani hata MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA
hapo ndipo tutakapoona hasara za kuwa na mawaziri ambao akili zao zimeexpire.
BABA WA TAIFA MWENYEWE ALISHAXEMA UDINI NA UKABILA NI WAPINZANI WA AMANI NA MAENDELEO KTK NCHI.Kwa nn yeye anaendelea kuukumbatia udini na kuendlea kugawanya nchi ktk vpnde vya dini ivyo
nn wasiwasi kuwa we2 n 1 kati ya watu wanaofaidi vipande vikubwa vya nchi hi kuliko haki yao na kuwanyima kabisa wananchi wengine hasa waliopo vijijini
hao jama wanachosha ndugu.picha wanayoleta hapo n kwamba wameshndwa kazi waliyopewa.kwa iyo wananchi kazi kwenu 2015.tshirt,kofia,kanga,chumvi na elfu tatu za mwaka 2010 vimeisha ila maisha bado magumu tufumbuke wtz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.