Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Ina huzunisha sana kama sio kutia huruma sana kwa nchi yetu ya Tanzania kuwa hapa tulipo. Kwani tuna mali asilia nyingi sana lakini ni masikini wa kutupwa kuliko.
Hii ni kwa sababu ya watu wa chache tu wasiopungua kama 40 hivi wenyenye nguvu za kuwatala watu zaidi ya milioni 40 kwa mabavu,wizi,ufisadi,uzandiki,ufirauni,uzushi,husuda,kiburi,choyo na mengine mengi ambayo yanaifanya Tanzania kuwa maskini wa kutupwa eti wakiguswa kwa kuhojiwa wana sera yao kuwa tunahatarisha amani!
Mi binafsi siioni hiyo amani uchwara kama ipo wakati mali zetu zinaisha na nchi inakuwa taabani kwa kikundi cha miungu mtu wachache na familia zao kulimbikiza fedha na mali nyingi kama vile dowans na mengine mengi yanayo leta kechefuchefu.
Huku watanzania wakifa kwa matatizo lukuki kwa sababu ya kukosekana huduma za msingi lakini huku wakiimba "amani na utulivu" jamani wazungu walivyo sema hili ni bara la giza ni kweli kabisa. Kwani inaonyesha kuwa akili zetu nyeusi kwani hazifikirii.
Hivyo kujinusuru kwetu ni kulitoa tabaka la miungu mtu kwa mabavu na vita kali hapa hakuna kulemba wala kupamba huu ni ujinga mkuu kikundi kidogo kutawala watu wengi kwa mabavu.
"UGHAIBUNI WANAULIZWA KWANINI NYIE NI MASKINI WAKATI MNA MALI ASILI? JIBU LAO HATA MIMI SITUJUI" Hivi tutafika kweli?
Hii ni kwa sababu ya watu wa chache tu wasiopungua kama 40 hivi wenyenye nguvu za kuwatala watu zaidi ya milioni 40 kwa mabavu,wizi,ufisadi,uzandiki,ufirauni,uzushi,husuda,kiburi,choyo na mengine mengi ambayo yanaifanya Tanzania kuwa maskini wa kutupwa eti wakiguswa kwa kuhojiwa wana sera yao kuwa tunahatarisha amani!
Mi binafsi siioni hiyo amani uchwara kama ipo wakati mali zetu zinaisha na nchi inakuwa taabani kwa kikundi cha miungu mtu wachache na familia zao kulimbikiza fedha na mali nyingi kama vile dowans na mengine mengi yanayo leta kechefuchefu.
Huku watanzania wakifa kwa matatizo lukuki kwa sababu ya kukosekana huduma za msingi lakini huku wakiimba "amani na utulivu" jamani wazungu walivyo sema hili ni bara la giza ni kweli kabisa. Kwani inaonyesha kuwa akili zetu nyeusi kwani hazifikirii.
Hivyo kujinusuru kwetu ni kulitoa tabaka la miungu mtu kwa mabavu na vita kali hapa hakuna kulemba wala kupamba huu ni ujinga mkuu kikundi kidogo kutawala watu wengi kwa mabavu.
"UGHAIBUNI WANAULIZWA KWANINI NYIE NI MASKINI WAKATI MNA MALI ASILI? JIBU LAO HATA MIMI SITUJUI" Hivi tutafika kweli?