Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,242
- Thread starter
- #61
My best gift to my mother is misos,,, nikitaka kwenda home nachofanya ni kuamka asubuh kwenda feri na hata ka 50,000 nasomba zangu samaki wa kiaina then kwenye buti huyo home...
Nikifika tu natoa bonge la tabasamu anajua mvuvi nimeshafika he he he...
I feel bad to see my mother sad..
Zawadi nyingine ni ndogo ngogo tu DVD za kwaya ukiziona kwenye mataa kama mama yako mtu wa hizo vitu,,, vitenge etc kumfanya yeye afurahi
Duh,samaki wa 50,000 he he,hiyo ni balaa si ata nenepeana sasa
afu iwe balaa.