Wahisani wamegoma kutoa misaada

Wahisani wamegoma kutoa misaada

Si mlisha ambiwa no misaaa mpaka watz mtakapo kubali "kushogeka" sasa kazi ni kwenu.
 
wewe endelea kupiga porojo huku tukiangamia!halmashauri zinasuffer na hakuna wa kuwasemea.hiki ni kifo cha ccm
Nani anaangamia halmashauri?au wewe ni mhasibu?bora wasilete kabisa hao wahisani kwani hata zikiletwa matumizi yake ni warsha,makongamano,seminar,workshop,posho ya safari na mengine kana hayo yasiyo na tija!Pesa hizi hizi zinawafanya muwe miungu watu huko halmashauri.Wafadhili safi sana!
 
Tanzania ni nchi iliyojitosheleza ni aibu kuona nchi hi inategemea wahisani.ebu tujitahidi kutumia lasilimali zetu kama ardhi,gesi,mafuta na misitu ktk kuendesha nchi yetu tukianza na mradi nafuu hadi ghari taratibu kwani hata MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA
 
ni mazoea yao kuficha ukweli!miradi mbalimbali ya halmashauri imekwama kwa kuwa fedha hazijaletwa kwa wakati.nitoe mfano,fedha ya health busket fund imeletwa halmashauri kwa quarter moja tu na sasa tuko quarter ya tatu!unategemea mipango ya halmashauri itatekelezwa kama ilivyopangwa?kwa nini serikali isikiri hili waziwazi?


mASTER PEACE ANGEMALIZIA ....USHABIKI WA..KIJANI!
 
hili neno waisani lina nitia kichefu chefu.tuna madini ya kila aina nchii mbuga za wanyama mlima kilimanjaro.gesi na kazalka.tujiulize waisani niwa nini.je tumeshindwa kukusanya kodi.jibu ni ndio.viongozi wetu ni vipofu wameaminishwa na hao waisani kwamba sisi ni maskini.na viongozi wame amini na kuwa sujudia.ndio maana leo wa wekezaji wamekua wakipigiwa magoti na serikali.na wananchi kuwa wakimbizi katika nchi yao.aridhi unatolewa anapewa muwekezaji.siku.zote.mwenye.kujenga nchi ni mwananchi mwenyewe.watanzania tunaitaji serikali makini yenye mipango makini.na kujitegemea yenyewe.na sio kuwapigia magoti waisani na wawekezaji.
 
Sio halmashauri tu hata mawizara yanapumulia mashine. Hakuna mgao unaoleweka ulioletwa. Fedha ni kiduchu sana. Ukiuliza vipi? unaambiwa ni mfumo wa "EPICA 9".
 
Nani anaangamia halmashauri?au wewe ni mhasibu?bora wasilete kabisa hao wahisani kwani hata zikiletwa matumizi yake ni warsha,makongamano,seminar,workshop,posho ya safari na mengine kana hayo yasiyo na tija!Pesa hizi hizi zinawafanya muwe miungu watu huko halmashauri.Wafadhili safi sana!
Ni vyema ikaelezwa wazi kuwa fedha haziletwi kwa kuwa zinaliwa.
 
Sio halmashauri tu hata mawizara yanapumulia mashine. Hakuna mgao unaoleweka ulioletwa. Fedha ni kiduchu sana. Ukiuliza vipi? unaambiwa ni mfumo wa "EPICA 9".
Hivi Epica 9 bado inazingua?
 
viongozi wabovu siku zote wanakuwa dependent kwa wahisani.hata vyoo vya wanafunzi wetu mashuleni havijengwi kisa wahsani hawatoi pesa.upuuzi tu.hii nchi ina uwezo wa kukusanya mapato na wahsani tukawaambia hatuna shida na misaada yao.lakini hili halitafanya na wavivu wa kufikiri bt na GREAT THINKERS kama MWAKYEMBE,DR SLAA,MAGUFURI,LOWASA,KAGASHEKI,MYIKA,TUNDU LISU na baadh wachache.
 
Back
Top Bottom