Recent content by Jushaa

  1. Jushaa

    Polisi Arusha yawanasa Majambazi Sugu watatu wakiwa na mganga wa kienyeji mwenye ndumba kibao

    Script imeandikwa vizuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jushaa

    Salary Advance: Janga linalowatafuna Watumishi wa Umma

    Wewe utakuwa unamiliki kimicrofinance umeona wateja hakuna,bola saraly advance riba yao ipo poa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jushaa

    Taarifa ya habari tbc

    TBC sio sehemu sahihi kwa kupata habari mkuu ,wapuuze Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jushaa

    Mtoto aliyemtaja Rais Magufuli apata mfadhili

    Wajinga nyinyi. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jushaa

    Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Jushaa

    Zoezi la uokoaji wa VIP la makomandoo

    Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
  7. Jushaa

    Elimu ya kwenda mpaka Chuo Kikuu ni kujichelewesha kuingia kwenye system mapema

    Form six ,ifutwe tu maana nimekutana na baadhi ya wahitimu ukijaribu kusikiliza mawazo yao wapo empty sana kichwani.
  8. Jushaa

    CECAFA Women Challange Cup 2019: Tanzania 9 - 0 South Sudan

    Iv tukaiita hii timu ya taifa ya Tanganyika huwa kunatatizo
  9. Jushaa

    Ukiwa nyumbani halafu huna kazi

    Mshua akinunua magazeti akaja nayo nyumbani ukatangulia kusoma kabla yake anayasusa na kukasilika sana
  10. Jushaa

    Uyui: Mke anyofoa uume wa mume wake kwa meno

    [emoji17][emoji17] so sad
Back
Top Bottom